Ni ujinga uliopitiliza kupanga foleni kumpigia kura mgombea wa CHADEMA/upinzani wakati msimamizi wa uchaguzi ni kada wa CCM

Aisee. Angalia msije mkampa Jokate hicho cheo kwa sababu mmeshalewa madaraka.
Mnakaribia kumzidi Al Bushir Wa Sudan.
ila kamanda Lisu akishachukua nchi mwakani tunawatia wote ndani
Lisu na urais wapi na wapi bwashee?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…