Ukarabati == kufanyia matengenezo.
Ukarafasi == ???
Kujiuzulu == kuachia madaraka kwa hiari, ama kutokana na kuwa na kesi inayoingiliana na nafasi uliyonayo.
Kujihuzuru ==sidhani kama hili ni neno sahihi.
Ukarabati == kufanyia matengenezo.
Ukarafasi == ???
Kujiuzulu == kuachia madaraka kwa hiari, ama kutokana na kuwa na kesi inayoingiliana na nafasi uliyonayo.
Kujihuzuru ==sidhani kama hili ni neno sahihi.