Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Katika mahojiano VOA Swahili amesikika mkenya mmoja akidai kuwa ukiichokoza Kenya umemchokoza Biden na Europe kwa ujumla ni baada ya kijana wa Museveni kuandika kwenye Twitter utani wa kuivamia Kenya.
Naombeni ufafanuzi wa madai haya ya mkenya bandugu .
Naombeni ufafanuzi wa madai haya ya mkenya bandugu .