Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakuuliza swali. Djibouti ambapo kuna military base kubwa ya Marekani barani Afrika, na largest foreign base ya China kuna rasilimali gani.Wakati wa vita baridi ilikuwa hivyo siyo sasa, maana Kenya hasa Nairobi ilitumika kama show point kuwa ubebari ni mzuri kuliko ujamaa kwa lengo la kuidhalilisha tz, kwa sasa hicho hakipo, USA kwa sasa interest yao ni natural resources, kenya ina nini?. shida ya wakenya bado mindset zao ni za kuabudu wakoloni na wazungu.
Shida ya mtoto wa Museveni ni upumbavu, anavyomwendesha baba yake anadhani anaweza akamwendesha kila mtu. Nina uhakika hata Waganda wangetaka aichokoze kenya ili waganda waungane na wakenya kuitandika familia ya mseveni kama walivyoungana na Tanzania kumtandika Idd Amin
Tafuta ujue kwa nini base iko Djibuti....unaporesearch tafute ujue umuhimu wa red sea na suez canal, diego garcia, yemeni and somali insugency, usisahau cape oil route.....itakusaidia sana kuliko kuuliza maswali ya kitotoNitakuuliza swali. Djibouti ambapo kuna military base kubwa ya Marekani barani Afrika, na largest foreign base ya China kuna rasilimali gani.
Sio kila muda nchi inatakiwa iwe na rasilimali. Nyingine zinatumika kama corridors kwenye ukanda fulani. Na sababu nyinginezo
Hapo ndipo utajua ulivyo na utoto kudhani bases zinawekwa kwenye nchi zenye rasilimali. Kwamba Kenya haina rasilimali hivyo hawawezi kuwepo, ulikuwa umelala wakati unatype hivyoTafuta ujue kwa nini base iko Djibuti....unaporesearch tafute ujue umuhimu wa red sea na suez canal, diego garcia, yemeni and somali insugency, usisahau cape oil route.....itakusaidia sana kuliko kuuliza maswali ya kitoto
Namaanisha mtoto wa MuseveniUkilaza nini kaka? Kwa tafsiri yako Au tafsiri sahihi?
1986Na kweli waganda watakua wamemchoka mtu tangu 84 mpaka leo kakomaa tu ikulu.
Nikuhakikishie mkuu hawez kuthubutu General Museveni yuko imara mno anamuandaa dogo kwa miaka kumi ijayoUganda hajawahi kuwa na uongozi thabiti.
Huyo mtoto anaweza hata kumwondoa baba ili achukue nchi.
HujaelewekaMuseveni kampandisha au kamrudisha Mwanae katika cheo cha awali cha General
Unaijua Uganda ya kabla ya M7 ilikuaje?Uganda hajawahi kuwa na uongozi thabiti.
Huyo mtoto anaweza hata kumwondoa baba ili achukue nchi.
Naijua tokea obote, binaisa, lule, obote, then m7,Unaijua Uganda ya kabla ya M7 ilikuaje?
Kiuchumi na kiusalama Ilikuaje?Naijua tokea obote, binaisa, lule, obote, then m7,
idi Amin dada nimemkumbuka pia
Au sio?Biden ye anasemaje?
tena vizuri sanaHata Tanzania tukitaka nyooshwa, wataitumia Kenya kutunyoosha
Muhoozi amepikwa kijeshi na huenda yupo tayari kuongoza Uganda.