Ni ulcers, worms au nini?? Saidia...

magzee

Member
Joined
Jan 1, 2013
Posts
62
Reaction score
7
Tumbo likiuma sana kupita maelezo wakati unanjaa...lakini pale tu unapokula, haliumi tena. Hii hali inasabaishwa na nini?
Naombeni msaada wenu sababu inanitesa sana.
 
Tumbo likiuma sana kupita maelezo wakati unanjaa...lakini pale tu unapokula, haliumi tena. Hii hali inasabaishwa na nini?
Naombeni msaada wenu sababu inanitesa sana.

Ni madonda ya tumbo.
 
hayo madonda yanatibiwaje mkuu Nchaby
 
Last edited by a moderator:
Tumbo likiuma sana kupita maelezo wakati unanjaa...lakini pale tu unapokula, haliumi tena. Hii hali inasabaishwa na nini?
Naombeni msaada wenu sababu inanitesa sana.

mi nafikiri kwa vipimo ndio majibu hupatikana!chukua hatua
 
hayo madonda yanatibiwaje mkuu Nchaby

Cheki kipimo kwanza cha ENDOSCOPE ili kuthibitisha kama kweli ni madonda ya tumbo.

Kisha nenda clinic ya RAHABU LUBAGO Buguruni shell. Watu wengi wenye matatizo ya ulcers wamepona kabisa kwa kutumia dawa anayotoa dada huyo iitwayo Fitelawa.
 
Last edited by a moderator:
Cheki kipimo kwanza cha ENDOSCOPE ili kuthibitisha kama kweli ni madonda ya tumbo.

Kisha nenda clinic ya RAHABU LUBAGO Buguruni shell. Watu wengi wenye matatizo ya ulcers wamepona kabisa kwa kutumia dawa anayotoa dada huyo iitwayo Fitelawa.

Huko kwa Rahabu hakuna lolote we nijibu uko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…