Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #21
Mi nadhani miaka 55 inafaa, we unaonaje?umri utakaoona
" mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo"
umri utakao amua kuwa game changer.
Hata wazee wenu walichepuka na kuzaa huko, ila tatizo la sikuhizi adabu hamna, na michepuko ni mingi kiasi unaijaza kwenye boat ya Zanzibar inajaa.. sasa wa nini jamani kuambukizana ukurutu wa maisha [emoji23]
Kama kuna uzao uliotokea, inakuwaje hapo?Hakunaga umri maalum..Cha msingi Kama umeanza acha na kama hujawahi usijaribu.
Chepuka.... wanaume ni jadi yetu ila usijehudumia mchepuko kuzidi familia utakua mpumbavTatizo kuna hawa warembo wachokozi, baadaye unajikuta umeanzisha uhusiano
Kuna wengine wanakuteka kabisa kwa mambo ya jadiChepuka.... wanaume ni jadi yetu ila usijehudumia mchepuko kuzidi familia utakua mpumbav
Yaah ipo sana kikubwa angalia aina ya mchepuko. Sio tu kisa shombeshombe unakimbilia wakati unaona kabisa anamambo ya kiswahili. Maana huwa hawajifichi wenye hayo mambo ya kiswahili huwa wanaonekana na nirahisi kujua. Bora udate kisista duu kikuzingue ila kikuache salama kuliko mswahili shombeshombe anaekupa jicho,pua nk. kwa gharama ya familiaKuna wengine wanakuteka kabisa kwa mambo ya jadi
Leta majibu mkuu
Miaka 70 ili yasikukute ya mzee machacheKuchepuka kwenye ndoa imekuwa ni jambo la kawaida kwa watu wengi; unakuta mwanaume ana mpenzi wa kando, pia mwanamke ni hivyo hivyo. Ingawa kwa asilimia kubwa, wanaume ndio wanaoongoza kuwa na michepuko mingi kuliko wanawake, na hii inatokana na kuvutiwa kwa hisia mbali mbali kutokana na warembo wanaokutana nao.
Wapo walioweza kupata watoto katika kuchepuka huko, na hatimaye kuweka mazingira ya kuwa na mchepuko wa kudumu.
Swali langu kwa leo, kutokana na mwili kuchoka pamoja na umri kusogea mbele; ni umri upi ni sahihi wa kuacha kuchepuka? Na kama mlipata watoto, ni nini kifanyike?
Kweli mkuu, maisha ni kujifunza piaMiaka 70 ili yasikukute ya mzee machache
Hahahahah siku ukiishiwa HelaKuchepuka kwenye ndoa imekuwa ni jambo la kawaida kwa watu wengi; unakuta mwanaume ana mpenzi wa kando, pia mwanamke ni hivyo hivyo. Ingawa kwa asilimia kubwa, wanaume ndio wanaoongoza kuwa na michepuko mingi kuliko wanawake, na hii inatokana na kuvutiwa kwa hisia mbali mbali kutokana na warembo wanaokutana nao.
Wapo walioweza kupata watoto katika kuchepuka huko, na hatimaye kuweka mazingira ya kuwa na mchepuko wa kudumu.
Swali langu kwa leo, kutokana na mwili kuchoka pamoja na umri kusogea mbele; ni umri upi ni sahihi wa kuacha kuchepuka? Na kama mlipata watoto, ni nini kifanyike?
Uko sahihi, amani inaweza kuwepo, lakini kwenye mengineyo yakalazimisha mtu kuchepuka.Kwa sisi wanawake ndoa kama ina amani ngumu kuchepuka
Fafanua kidogo hapo uneniachaUkishapata akili timamu; ukishaanza kujielewa: note 3385887374847732774 save 1
The best answerYote hayo Mfalme Suleiman anasema ni upuuzi mtupu ni Kama kufukuza upepo maana Leo unazini na huyu kesho na mwingine Hadi kufa kwako , jiwekee limitations mwenyewe inawezekana kuishi bila kuchepuka
Hamnaga amani nyie. Hata mkipewa kila kitu utaanza kuona uwepo wa mume ni kama kero unataka akuache uwe na mashosti wako. Mkipewa vichache mnaenda kutafuta nje.Kwa sisi wanawake ndoa kama ina amani ngumu kuchepuka
Mwenyewe alikuwa na mademu na wake kibao. Hayo maneno umeyatoa mstari gani?!The best answer