Ni uongo gani ambao umewahi kuambiwa na single mother/father ambao ukiukumbuka leo unacheka tu?

Ni uongo gani ambao umewahi kuambiwa na single mother/father ambao ukiukumbuka leo unacheka tu?

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Those days nimeingia mjini daslamu kwa mara ya kwanza, nikakutana na manzi mmoja ambae leo ni miongoni mwa mademu fulani ambao wanaonekana kuwa maarufu hapo daslamu na ushamba wangu wa kutoka huko shinyanga nikajichanganya na demu tukawa tunaishi wote kama mke na mume.

Kumbe demu lishazalishwa mtoto limemuacha kwa mama ake,baada ya kujua hiyo issue likanidanganya eti baba wa mtoto alikufa kwenye ajali ya MV Nungwi kumbe zilikua fiksi tu.baada ya kujua demu ni muongo nikaondoka kimya kimya.

Saivi namuona tu kwenye mitandao eti nae kawa maarufu.
Ni uongo gani nawe umewahi kudanganywa na single mother au father?
 
Alinidanganya mumewe alikufa kwenye ajali ya ethiopia airline, kumbe dem shankupe lililokubuhu hapo kinondoni.
Ila nashukuru halikua kwenye grid ya taifa.
 
....na ushamba wangu wa kutoka huko shinyanga....

Ilikuwa ni lazima uyaseme haya maneno mkuu? Napelana noi! [emoji51][emoji16][emoji16][emoji870]

IMG-20230520-WA0023.jpg
 
Huyu nilikutana nae nikiwa safarini naelekea mkoani mwanzo mwisho toka Mbezi mpka tulipoachna nikasimamia shoo(wapenda kulakula)mawasiliano yaliendelea mpka ulipofika muda wa kumtumia nauli kuja mjini kweli bibie alikuja na nilikaa nae siku3 ila nilichogundua mtindi umetumika tofauti na alivyokuwa akiniaminisha kuwa yeye hajafanikiwa kupata mtoto ila ukwel alikuwa ni single mother
 
Those days nimeingia mjini daslamu kwa mara ya kwanza, nikakutana na manzi mmoja ambae leo ni miongoni mwa mademu fulani ambao wanaonekana kuwa maarufu hapo daslamu na ushamba wangu wa kutoka huko shinyanga nikajichanganya na demu tukawa tunaishi wote kama mke na mume.

Kumbe demu lishazalishwa mtoto limemuacha kwa mama ake,baada ya kujua hiyo issue likanidanganya eti baba wa mtoto alikufa kwenye ajali ya MV Nungwi kumbe zilikua fiksi tu.baada ya kujua demu ni muongo nikaondoka kimya kimya.

Saivi namuona tu kwenye mitandao eti nae kawa maarufu.
Ni uongo gani nawe umewahi kudanganywa na single mother au father?
Ali nidanganya ana mtoto mmoja kumbe ni wawili
 
Back
Top Bottom