Tutazidi kujaribu kufungua macho ya kila anayependa uzima.
Ni kazi ngumu lakini sasa ufanyeje?
Hata nikifanikiwa mmoja, si mbaya.
Hebu jiulize, kwani wanaficha nini?
Hilo swali tu linatosha kukupa wasiwasi wote unaohitajika.
Dawa zote zenye maboksi lazima ukute karatasi ndani ambayo imeandikwa mambo kadhaa:
Mfano:
dosage
phamacokynetic
indication
contraindication
nk, nk
Hayo yanakuwa ni maelezo ya nini kimo ndani ya dawa na pia itumikeje na isitumikeje, nk.
Sasa unaniletea dawa, tena mpya, na ndani umeweka karatasi paaana kama kapeti.
Halafu hujaandika chochote.
Kwani unaficha nini?
Your browser is not able to display this video.
Hata hivyo, hilo halinishangazi hasa ninapotambua kuwa wewe ni mwovu na mwenye nia mbaya.
Kinachonishangaza ni kwamba umati wa kutosha bado unakuamini.
Hapo tu.
Ee Mungu tusaidie.
Hadi tutakapoamka ndio pona yetu mkuu. Lakini hilo ni karatasi ambalo lilitakiwa liwe limeandikwa taarifa kuhusu kilichomo kwenye chupa wanayodai ni chanjo. lakini hakuna kilichoandikwa.
Hizo chanjo hazina final approval, bado zipo kwenye ngazi ya majaribio na utafiti..........ndo maana hawawezi kuandika maelezo yoyote kwenye hiyo karatasi yanayohusiana na chanjo.
Hizo chanjo hazina final approval, bado zipo kwenye ngazi ya majaribio na utafiti..........ndo maana hawawezi kuandika maelezo yoyote kwenye hiyo karatasi yanayohusiana na chanjo.
Majaribio ambayo tayari yameshaua maelfu, maelfu wengine wamepata ulemavu, lakini ndio kwanza wanaongeza booster baada ya booster. Wanajua fika kilichomo ndani ya kila chupa - lakini cha ajabu badala ya wao kujitetea kujibu maswali yetu, sisi ndio tuko bize kuwatetea na kukubali kudungwa tusichokijua. So so sad!
Huo si utaratibu wa uzalishaji wa dawa. Dawa zote huja na maelzo, kwa nini hizi ziwekwe CDC. Kwa hiyo wamesema kwenye hayo maboksi kwamba tukaangalie CDC? Na kwa nini basi waweke mkaratasi mkuuubwa ulio blank?
Huo si utaratibu wa uzalishaji wa dawa. Dawa zote huja na maelzo, kwa nini hizi ziwekwe CDC. Kwa hiyo wamesema kwenye hayo maboksi kwamba tukaangalie CDC? Na kwa nini basi waweke mkaratasi mkuuubwa ulio blank?
Majaribio ambayo tayari yameshaua maelfu, maelfu wengine wamepata ulemavu, lakini ndio kwanza wanaongeza booster baada ya booster. Wanajua fika kilichomo ndani ya kila chupa - lakini cha ajabu badala ya wao kujitetea kujibu maswali yetu, sisi ndio tuko bize kuwatetea na kukubali kudungwa tusichokijua. So so sad!
Duniani kuna uzushi sana.
Iweje hii dawa ambayo inaua maelfu isisababishe madhara yoyote kwenye watu zaidi ya mia ambao wamechanja pamoja?
Duniani kuna vita nyingi, umakini binafsi unatakiwa.
Duniani kuna uzushi sana.
Iweje hii dawa ambayo inaua maelfu isisababishe madhara yoyote kwenye watu zaidi ya mia ambao wamechanja pamoja?
Duniani kuna vita nyingi, umakini binafsi unatakiwa.
Ni kweli mkuu. Waliokufa wala si mia - ni maelfu kwa maelfu - ukiangalia website ya VEARS wanaonyesha. Lakini kwa sababu watu wamekubali kumeza HOFU, wanadhani kila wanachoambiwa na WHO ni cha kweli. WHO inafadhiliw ana bill gate pamoja na pharmaceutical companies. Hao ndio wanaosimamia huu udanganyifu
Ni kweli mkuu. Waliokufa wala si mia - ni maelfu kwa maelfu - ukiangalia website ya VEARS wanaonyesha. Lakini kwa sababu watu wamekubali kumeza HOFU, wanadhani kila wanachoambiwa na WHO ni cha kweli. WHO inafadhiliw ana bill gate pamoja na pharmaceutical companies. Hao ndio wanaosimamia huu udanganyifu
Ninaoongelea ni watu ambao nakutana nao kila siku. ( Binafsi nimeshachoma hiyo JJ)
Ndani ya siku tatu tuliweza kuchoma watu karibia 300 ambao tunafanya kazi pamoja. Mimi sikupata side effects, wengine walipata, na baad ya wiki moja hakukuwa na hata mmoja anayelalamikia side effeects.
Pengine sisi tuna bahati sana.
Kuna uzushi ulio dhidi ya chanjo.
Kuna uzushi unaopigia debe chanjo.