Dah, pole mkuu, najua inaumiza kwa namna ambayo haielezeki. Cha muhimu tulia jipe mda hadi pale utakapoona umetulia. Upatapo tatizo usipende kuwaza au kusema 'mke wangu angekuwepo, ....', itakuumiza sana.
Kwa kuwa watoto ni wakubwa, miaka kumi na mwingine sita, hao kwa sasa sidhani kama ni shida sana.
Kwa mara nyingine pole mkuu.