KOLOWIZARD mmelishwa sumu mbaya sana na umbumbumbu wenu, si huwa mnasema ninyi MAKOLO ni timu tajiri sana kuliko YANGA ndiyomaana hata mkataba wenu kwa miaka mitano ni B 26?Yanga Mmezoea kuhonga, kimataifa mmeshindwa kuhonga ndo mana hamapat ushindi
Ina maana sasa tuwe na kazi ya kufukuza makocha tu..maana kama tutakosa uvumilivu basi hata aje nani ataonekana hafaiNabi wa kazi gani sasa,ana wachezaji wazuri lakini mbinu hana ni lazima Yanga tufanye maamuzi magumu.makocha wapo wengi yeye sio wa kwanza,ebo!
Choko choko za Nabi kufukuzwa ni za yale ma-chempazee ya mzimbazi wala si Mashabiki wa YANGATunakuaga na matarajio makubwa uku uwezo mdogo.Mpira wetu ni wakawaida sana unakuzwa na kuongea kwetu sana kuliko uhalisia.Bado hatuna mpira mkubwa kiasi chakuona makocha ni tatizo.Makocha wanajitahidi kwaviwango vyao kulingana na aina ya kikosi wanavyokua navyo ila sio kwamba timu zetu zina vikosi vipana kiasi chakushangaa yanga kufungwa na al hilal.Kinachotusumbua kikubwa ni kukosa uvumilivu na ujuaji.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Bingwa mtetezi na Simba wana tofauti gani?Ukisema uwe na kocha ati achukue ubingwa wa afrika kwa viwango vyetu vya soka east/central africa basi utafukuza heta makocha mia
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Unafukuza piaNa vipi atakayekuja akishindwa hata kutwaa ubingwa wa nbc ligi?
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Hata kama sio kuchukua kombe, ndo misimu yote miwili atolewe hatua hizi za awali, hata kunusa makundi tu?Ukisema uwe na kocha ati achukue ubingwa wa afrika kwa viwango vyetu vya soka east/central africa basi utafukuza heta makocha mia
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Huwezi kusema kuwa una long term plans ilihali avarage age ya kikosi inakataa hilo wazo. Unaweza kuweka malengo ya muda mrefu ukiwa na wachezaji wenye umri kati ya 24-26 na sio kwa players wenye miaka 30+Kocha wanaajiriwa ili wawe fired, kama kashindwa timiza malengo basi hakuna kingine zaidi ya kufurushwa...
Otherwise kama aliajiriwa kwa ajili ya long term plans basi atasalia
Uzuri makocha wenyewe wakiona mnawasumbua sana na utahira wenu wanakuja kwenye media na kuwaita manyani,mambwa mnabweka bweka hovyo na bado mtadaiwa mpunga kama alivyowafanya luc eymaelChoko choko za Nabi kufukuzwa ni za yale ma-chempazee ya mzimbazi wala si Mashabiki wa YANGA
Simba walivyotolewa na jwaneng msim uliopita nini kilimpata kocha?Malengo ya Yanga siyo kuishia kumfunga Simba au timu nyingine za ndani. Yanga walifanya usajili mzuri kiasi cha kuweza kufanya vizuri hata mashindano ya kimataifa. Nabi ameonyesha kwa vitendo kuwa hana uwezo wala mbinu za kushinda game za kimataifa. Akishindwa kuingia hatua ya makundi kombe la Shirikisho, asepe aje kocha mwingine.
Waambie yanga wakuhesabie mechi walizoshinda kipind cha pili af wakupe sababu ya kiutalaammbona mnapenda kujifariji nyie viumbe?
kwa hiyo game za vipers, zesco &wale wanaijeria waliowapiga nje ndani hakuwa PROF. NABI?
Na kama ligi kuu NBC ingelikuwa na marefa bora na wenye kuzingatia sheria & kanuni huu wimbo wa unbeaten msingekuwa mnauimba popote.
Ukweli ni kwamba viongozi wa Yanga wanajua jinsi wanavyoshinda michezo na siyo kocha Nabi.
Sema ukweli hata wewe jambo lako likikwama miamala ni muhimu. Na hiyo ipo hata kwa Yanga wakishindwa na kulemewa wanatembeza miamala tu.Waambie yanga wakuhesabie mechi walizoshinda kipind cha pili af wakupe sababu ya kiutalaam
Malengo ya Yanga siyo kuishia kumfunga Simba au timu nyingine za ndani. Yanga walifanya usajili mzuri kiasi cha kuweza kufanya vizuri hata mashindano ya kimataifa. Nabi ameonyesha kwa vitendo kuwa hana uwezo wala mbinu za kushinda game za kimataifa. Akishindwa kuingia hatua ya makundi kombe la Shirikisho, asepe aje kocha mwingine.
Nabi wa kazi gani sasa,ana wachezaji wazuri lakini mbinu hana ni lazima Yanga tufanye maamuzi magumu.makocha wapo wengi yeye sio wa kwanza,ebo!
Anaitwa professor nasridin nabi.professor wa mpira
π ππππ―Nabi wa kazi gani sasa,ana wachezaji wazuri lakini mbinu hana ni lazima Yanga tufanye maamuzi magumu.makocha wapo wengi yeye sio wa kwanza,ebo!
Hii ndo point mkuu,viongozi wanajua team yao inashindaje gemu za ndani...mbona mnapenda kujifariji nyie viumbe?
kwa hiyo game za vipers, zesco &wale wanaijeria waliowapiga nje ndani hakuwa PROF. NABI?
Na kama ligi kuu NBC ingelikuwa na marefa bora na wenye kuzingatia sheria & kanuni huu wimbo wa unbeaten msingekuwa mnauimba popote.
Ukweli ni kwamba viongozi wa Yanga wanajua jinsi wanavyoshinda michezo na siyo kocha Nabi.