Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,057
- 10,367
dogo kashinda,ata km kuna mwenye chuki binafsi inabidi wampongeze tu.
Hata kama kashinda ila ni upuuzi tu. Mambo ya kuoga uchi ndio mnayasifia hapa ,, mimi siyakubali na nitazidi kuyapinga
mkuu Ina maana we unaogaga na nguo?????
boss kweli kachukua! lakini akiulizwa alifanya nini hadi ameshinda atasemaje kwa mfano?Loya wangu.....
anayeshinda atasheherekea ushindi kwa $300,000.00
boss kweli kachukua! lakini akiulizwa alifanya nini hadi ameshinda atasemaje kwa mfano?
Haya msibishane nimesikia huyo mtu kashinda sijui ameshinda kitu gani walichokuwa wanashindania.hebu mwenye picha yake aweke hapa nimfahamu maana naweza kukumbana nae mtaani kumbe ni mtu maarufu angalau nipige nae picha .
Shuhudia hapa kwamba wewe ni msafi usiye na chembe ya uovu!Kila mtu ataulizwa namna alivyo chuma na kutumia...
Kazi kwenu washangilia michezo haramu.
Ah, it doesn't matter kafanya nini... who cares? By the way, kabla hata sijafikiria kumuuliza Idris kafanya nini hadi ameshinda nitaanza kwanza kuuliza hivi akina William Ngeleja wamefanya nini hadi walipwe mamilioni yote yale na Braza Ruge!!!boss kweli kachukua! lakini akiulizwa alifanya nini hadi ameshinda atasemaje kwa mfano?
Watu wanaingia na mashine mtaani wanaua watu na pesa wanayopata wanafanyia mambo ya maana itakuja kuwa pesa ya BBA ambayo hujaua hata sisimizi? Hayo mengine ni akili ya mtu kwa sababu hata makazini, unakuta mwingine anapokea sh. 500,000 kwa mwezi na anafanya mambo ya maana kuliko anayepokea sh. 5,000,000/-Kumbe ukiwa na elfu99 ya kununua dstv na kumudu kulipa elfu 17 kwa mwez we tajir!!subir waone hizo hela zinavyoteketeaga na kubaki jina tu ndo wataamini ni mchezo wa kishetan!
It ain't change nothing!Hata kama kashinda ila ni upuuzi tu. Mambo ya kuoga uchi ndio mnayasifia hapa ,, mimi siyakubali na nitazidi kuyapinga
Watu wengine bhana... yaani unoko wa nyumbani kwao wanauleta hadi huku!! Kila mtu dunia hii na starehe zake ili mradi hakuna anayelazimishwa kufuata starehe za mwingine!! Wakati wengine wanaweza kuacha shughuli zao na kuwaangalia akina Kafulila wakichanana bungeni, wengine kwao huo ni upuuzi tu usiohitaji hata dakika moja kuufuatilia! Kama wewe sio mtu wa burudani mambo kama haya unaweza usiyaelewe... narudia, kama wewe sio mtu wa burudani manake utakuta mwingine ni mpenzi wa muziki peke yake lakini mathalani, ylinapokuja suala la fashion show, anaona ni upuuzi.... mtu kama huyo sio mpenzi wa burudani bali ni mpenzi wa muziki na hata ukimfuatilia utakuta anaupenda muziki wa aina fulani na mwingine anaona upuuzi wakati wengine wanagonga kuanzia Taarabu hadi Charanga!!
Acha wenye starehe zao wafanye wafanyayo na good enough matunda yao yameonekana! Investments of some thousands or Lakis shillings through voting has helped to bring in $ 300K into our economy!
Kila mtu ataulizwa namna alivyo chuma na kutumia...
Kazi kwenu washangilia michezo haramu.
Kumbe ukiwa na elfu99 ya kununua dstv na kumudu kulipa elfu 17 kwa mwez we tajir!!subir waone hizo hela zinavyoteketeaga na kubaki jina tu ndo wataamini ni mchezo wa kishetan!
The way u say it as if you're so clean u never sinned before... Lol don't judge a person coz hata bible inasema kipimo upimicho ndo utakachopimiwa.... Dogo kashinfa he was a superb entertainer na hyo ndo njia yake ya kumake money.....
Si wote lazima tuwork kwa office ndo useme tumeearn kihalali....
Maisha ni circle na entertainment ni part ya hyo circle.....
So we ka huelew a thing abt entertainment na BBA yo better stay kimya afu sie tunaoenjoy tuache tuenjoy.....