Kama si mwanamke unae tanga tanga barabarani kutafta mijidume utakua ni dume shoga....
Maana maneno yako yanaonesha hivyo.
qn of sheba don't shout argue, hapa hoja ni hayo mashindano ni upuuzi mtupu, kama watu wana wivu wangemuonea wivu Bakhresa ambaye hizo dollar laki tatu yeye anaspend kwa kununuwa gari tu la kumpeleka ofisini.
ndio kashinda hivyo kama bba inawachefua kuleni ndimu msitapike.. hakuna aliyelazimishwa kuangalia wala kupiga kura.
Sasa kama wewe sio Mtanzania vinakuhusu nini??kuongelea tu mambo usiyoyajua..
Haya maneno ya kipashkuna kaongee na mapashkuna wenzako.
NImekuambia kwamba shuhudia hapa kwamba wewe ni mtu msafi lakini umeshindwa kufanya hivyo... halafu angalia unavyotoa mifano isiyo na mantiki yoyote! Yaani unajiona upo sawa kulinganisha "starehe" ya al-shabab, boko haram, ujambazi, uchawi kwa upande mmoja na Big Brother kwa upande mwingine? Is there any matching? Hayo yote uliyotaja yana direct effect kwa jamii ambayo hata mtoto wa darasa la pili anafahamu... sasa niambie: WEWE binafsi umeathirika nini na suala la Idris kuwa BBA? Familia, ndugu na rafiki zako wameathirika nini na suala la BBA? Toa mifano yenye mantiki...Acha kutulisha maelezo yasio na maana wewe,
Ww ni sawa na wale walio walisha imani wanadamu wenzao eti zamani walikua nyani, hata kama kila mtu ana mapenzi yake ktk jambo flan haimaanishi eti hata yale mapenzi ya majambo yasio na maadili tukiyaona tukaushe tu!
Nakumpa mfano ili uelewe,
Unafahamu kua boko haram, alshabab, ujambazi, uchawi n.k hizo zote ni starehe za watu?
Je una habari kua starehe zao hizo ambazo kwa wengine ni uupuzi wao wanazipenda na zina athari mbaya sana kwa jamii..?
Sasa jiulize pale unaposema starehe za wenyewe zije kuathiri jamii yako.
Uliyajuaje yote hayo wakati huangalii? Manake kwa jinsi ninavyoifahamu BBA ni lazima ufuatilie toka Day 1 hadi siku ya mwisho ndo unaweza kuona mlolongo wa yote hayo...Watu hawa wanaakili kweli?
1. Wamefungiwa ndani
2. Wanalewa nakunywa hovyo
3. wanaoga hadharani
4. wanafanya matendo machafu na ya hovyo hadharani
5. wanaigiza matendo na maisha ya kuigiza ambayo sio halisi kwa mwafrika wakweli
6. wanaopanga mbinu za kuangushana, kuaibishana na kusalitiana
Tunajifunza nini kwa washenzi hawa wa Big Brother kama sio kupotosha asili na maadili ya mwafrika?
NImekuambia kwamba shuhudia hapa kwamba wewe ni mtu msafi lakini umeshindwa kufanya hivyo... halafu angalia unavyotoa mifano isiyo na mantiki yoyote! Yaani unajiona upo sawa kulinganisha "starehe" ya al-shabab, boko haram, ujambazi, uchawi kwa upande mmoja na Big Brother kwa upande mwingine? Is there any matching? Hayo yote uliyotaja yana direct effect kwa jamii ambayo hata mtoto wa darasa la pili anafahamu... sasa niambie: WEWE binafsi umeathirika nini na suala la Idris kuwa BBA? Familia, ndugu na rafiki zako wameathirika nini na suala la BBA? Toa mifano yenye mantiki...
By the way, hebu eleza hiyo BBA inaathiri vipi jamii yako? Ni miaka kibao imepita tangu BBA iwe hewani na Watanzania kushiriki! Hoja isiyo na msingi ya wapinzani wa BBA eti watu wanaoga uchi mbele ya kamera... Sasa niambie, tangu BBA imeanza kuwa hewani, umewahi kuona wangapi wanaoga hadharani kama moja ya madhara ya BBA? Umewahi kuona wangapi wanapigana pum'bu hadharani ili kuthibitisha hizo ndo negative effect za BBA? Hivi zile DVDs za ngono zilizojaa kwenye mitaa ya Kariakoo na BBA nini tunaweza kusema kinaathiri jamii? We unataka kusema dada zetu wanaopiga picha za utupu wanafanya hivyo baada ya kuona BBA? Maswali mengi ambayo hata moja huwezi kuwa na jibu lenye mantiki lakini lililo wazi ni kwamba wote mnaopinga BBA hamna hoja ya msingi coz' nchi hii kuna mambo mengi na ya kishenzi yanaendelea ambayo ushenzi wake ni mara milioni moja ya yale ya BBA otherwise, taja hapa what's the big issue with BBA!
Hivi kuna reasoning za kitoto kama kulinganisha BBA na ujambazi, uchawi, al shabab, boko haramHata muhongo alieleza kua pesa si za wananchi kisa tanesco ina madeni.!
Maana yake si kua kila jibu unalo toa lazima liwe sahihi kwa ukisemacho.
Logical resoning zako ni za kitoto sana wala huwezi kujibishana na mimi...
Baada ya kuishiwa hoja na kushindwa hoja unajifanya eti huwezi kujibishana na mimi... and to be honest, ni kweli coz' what you write are just craps na wala huna ubavu wa kujibishana na mimi na ndio maana hakuna swali hata moja nililokuuliza ambalo umeweza kumejibuUnafahamu kua boko haram, alshabab, ujambazi, uchawi n.k hizo zote ni starehe za watu? Je una habari kua starehe zao hizo ambazo kwa wengine ni uupuzi wao wanazipenda na zina athari mbaya sana kwa jamii..?
Sasa jiulize pale unaposema starehe za wenyewe zije kuathiri jamii yako.
Uliyajuaje yote hayo wakati huangalii? Manake kwa jinsi ninavyoifahamu BBA ni lazima ufuatilie toka Day 1 hadi siku ya mwisho ndo unaweza kuona mlolongo wa yote hayo...
Mi nadhani sio upuuzi kuwa pigia vijana hawa kura kwa sababu ushindi wao una faida kubwa mbili: -
1. Ushindi wao wanapatiwa fedha za kigeni' fedha zile zinakuja kwetu ie: Idriss $3,000,000/= Happines hatujui akishinda taji ataleta kiasi gani
2. Ushindi wao unaitangaza Tz pakubwa mno
Balaa ni kwamba wakati watu wanastruggle vijana hawa washinde walete sifa na hela ndani ya nchi hii kuna wazee wamekaa mkao wa kuangalia wataziiba vipi kuzirudisha kwenye acc za nje.
Ila tusichoke na tusikate tamaa tupige KURA
Maana naona siku hizi watu tunahimizwa katika Media zote as if ni sahihi kufanya hivyo coz mi sioni yanatufundisha chochote katika maisha zaidi ya upuuzi mtupu. Kama vipi nendeni mkawaombee kura kwa wahuni wenzao, shwain!
Wanaoungana nami kwenye hili leteni michango yenu hapa. Na tupinge mashindano ya kipuuzi kama haya nchini kwetu.