Ni ushauri tu: You can either take it or leave it

Ni ushauri tu: You can either take it or leave it

:A S-frusty::A S-frusty::A S-frusty::ballchain::ballchain::ballchain::mad2::mad2::mad2:
Usipate presha honey ukianza kusikiliza tabloid newspapers hatufikii mbali tutakuwa tunaenda hatua tatu mbili halafu tunarudi kumi nyuma
 
Michelle mwanzo mgumu na watu kama hawa wapo tuu....hawa ndo wakuvumilia hawa...halafu sisi tunavul....na

Sawa kabisa,tuwe tunazungumza kwa PM basi,wasijue raha zetu.....lol
 
Aisee kweli TF ni hartibreka... Ati nimeshakua tabloid news.... uwiiiiiii...

Usipate presha honey ukianza kusikiliza tabloid newspapers hatufikii mbali tutakuwa tunaenda hatua tatu mbili halafu tunarudi kumi nyuma
 
wako ukiwa naye...akitoka si wako mpenzi...theory za home huzikumbuki???:msela:

hahahahah mie theory za home sizifuatagu lol
nikiwa naye ni wangu, akitoka tunatoka wote kwa hiyo bado ni wangu
AD Theory hahahahah lol
 
Samahani sana kama nimekosea. Nilitaka tu kujua unaweza sema mdada kumbe mkaka kama mimi si vizuri

Sasa mkaka humu unadhani hata kuna wadada na wakaka humu, humu kuna keyboard tu....hivi keyboard yako ni jinsia gani?
 
Uliyo yasema ni jambo la msingi sana katika ndoa . Mambo yote yanaweza vumilka lakini siyo kutoka nje ya ndoa, hili jambo lazima mtu yeyote anayetaka kuingia kwenye ndoa atambue hilo. Uvumilivyo kwenye suala la kutoka nje ya ndoa linaweza kuwa na madhara makubwa sana, watu wameshapoteza maisha kwa kuvumilia hili jambo.


Wakati mwingine mtu anaweza kufanya mambo ya kukuumiza moyo na sio kwamba anafanya makusudi bali ni kujisahau kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu

Unajua katika mapenzi unaweza ukaishi na mtu akakupa tabu sana,ila uvumilivu ni
kitu cha busara,kwani inawezekana akakusumbua sana,akukera kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu lakini bado unahitaji kuendelea kuwa naye maana licha ya kukukera ,ila anakupenda kwa dhati. kumbuka kuwa uvumilivu ni nguzo ya pekee ili tuweze kufika mbali katika mahusiano ukizingatia kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha.

Tusiachane jamani embu fikiria utaacha au kuachwa na wangapi kama ukiwa si
mvumilivu,wakati mwingine mtu anaweza akakukera lakini hakukusudia bado anahitaji uwepo wako hivyo ni muhimu kumsaidia kutokana na matatizo aliyonayo huenda kuna siku ataelewa vipi aishi na mwenzie,ingawa inawezekana ikachukua muda mrefu hasa kama atakuwa hapendi kufanyia kazi ushauri wa mwenzake.

UVUMILIVU NI WA MUHIMU KWANI VINGINEVYO HATUTAFIKA NA PIA NI MUHIMU KUYAGUNDUA MAPUNGUFU ULIYONAYO ILI UJIREKEBISHE.


Ni hayo tu.
 
hahahahah mie theory za home sizifuatagu lol
nikiwa naye ni wangu, akitoka tunatoka wote kwa hiyo bado ni wangu
AD Theory hahahahah lol
Mwambie hizo THEORY ni za kwake mwenyewe kwetu they don't apply
 
Back
Top Bottom