The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
- Thread starter
-
- #241
Usipate presha honey ukianza kusikiliza tabloid newspapers hatufikii mbali tutakuwa tunaenda hatua tatu mbili halafu tunarudi kumi nyuma:A S-frusty::A S-frusty::A S-frusty::ballchain::ballchain::ballchain::mad2::mad2::mad2:
Usijali mazee pamoja sana mkuu:clap2::clap2::clap2::clap2:
wako ukiwa naye...akitoka si wako mpenzi...theory za home huzikumbuki???:msela:
Karibu sana jamvini mkuuBro na mimi mkaka kama wewe
Duh maswali mengine nomaaa.....he or she duh?
Michelle mwanzo mgumu na watu kama hawa wapo tuu....hawa ndo wakuvumilia hawa...halafu sisi tunavul....na
Karibu sana jamvini mkuu
Sawa kabisa,tuwe tunazungumza kwa PM basi,wasijue raha zetu.....lol
Usipate presha honey ukianza kusikiliza tabloid newspapers hatufikii mbali tutakuwa tunaenda hatua tatu mbili halafu tunarudi kumi nyuma
AD naomba utuache tu tafadhali....hebu tuvumilie tu...ukishindwa tuvulie tu tafadhali
Sawa kabisa,tuwe tunazungumza kwa PM basi,wasijue raha zetu.....lol
I can see things are moving the way i am expecting them to go
:A S-frusty::A S-frusty::A S-frusty::ballchain::ballchain::ballchain::mad2::mad2::mad2:
wako ukiwa naye...akitoka si wako mpenzi...theory za home huzikumbuki???:msela:
Samahani sana kama nimekosea. Nilitaka tu kujua unaweza sema mdada kumbe mkaka kama mimi si vizuri
its safe under your wings......
we mi niko busy kuandaa honey moon we wafanya nini na GY??
Wakati mwingine mtu anaweza kufanya mambo ya kukuumiza moyo na sio kwamba anafanya makusudi bali ni kujisahau kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu
Unajua katika mapenzi unaweza ukaishi na mtu akakupa tabu sana,ila uvumilivu ni kitu cha busara,kwani inawezekana akakusumbua sana,akukera kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu lakini bado unahitaji kuendelea kuwa naye maana licha ya kukukera ,ila anakupenda kwa dhati. kumbuka kuwa uvumilivu ni nguzo ya pekee ili tuweze kufika mbali katika mahusiano ukizingatia kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha.
Tusiachane jamani embu fikiria utaacha au kuachwa na wangapi kama ukiwa si mvumilivu,wakati mwingine mtu anaweza akakukera lakini hakukusudia bado anahitaji uwepo wako hivyo ni muhimu kumsaidia kutokana na matatizo aliyonayo huenda kuna siku ataelewa vipi aishi na mwenzie,ingawa inawezekana ikachukua muda mrefu hasa kama atakuwa hapendi kufanyia kazi ushauri wa mwenzake.
UVUMILIVU NI WA MUHIMU KWANI VINGINEVYO HATUTAFIKA NA PIA NI MUHIMU KUYAGUNDUA MAPUNGUFU ULIYONAYO ILI UJIREKEBISHE.
Ni hayo tu.
Mwambie hizo THEORY ni za kwake mwenyewe kwetu they don't applyhahahahah mie theory za home sizifuatagu lol
nikiwa naye ni wangu, akitoka tunatoka wote kwa hiyo bado ni wangu
AD Theory hahahahah lol