Leney....frankly speaking I dont know if ni malezi au wamezaliwa hivyo........and mind you sadist people si lazima waexpress usadist wao katika mapenzi tu kuna wengine huwa wana hiyo passion yaani akiamua kutokupenda kukuona wewe unafaidi au unafurahia maisha basi kama anayo nafasi atamake sure unasuffer.....whether kimapenzi au lah.........They just love to see other people suffers.
By the way...........Jamani mie mwoga huku maeneo ya Mlimani City nimesikia vitu kama Fataki (Au bunduki!!) Naomba kujua leo Mlimani City kuna sherehe yeyote???
Mimi kabla sijawa na mpenzi (for a veeeeery looong tym, maana sikutaka hii mikikimikiki) nilikua very up to the point, straight forward, no uvumilivu, "you pay for your actions"...mmmhhh kumbe nilikua sijapenda bwana.
Nimekuwa na huyu mpenzi mmoja kwakweli wakati naingia kwenye mapenzi nilisema I need a man, if God wishes let this one b the only man in my life, so sikuwa na lengo la "nakuja leo, ukinizingua kidogo tu naondoka kesho", hii imenisaidia sana, sometimes tunagombana mpaka natetemeka, nasema kesho nikiamka AM SO DONE WITH THIS CRAP, ila nikimpigia, au tukikutana, tukianza kuongea na kujadili we always, always reach to a suluhisho, hii ni kwa sababu wote wawili tuna lengo moja, just as The Finest said, we fight for what we have, lakini hio haimaanishi kwamba hatugombani...sasa utakuta mmoja yuko willing kuvuka milima na mabonde, ila mwenzie daaaah anajiona kama dhahabu, yani yeye ana mentality ya "sema su, am gone" that can never work.
COMMUNICATION Na kumuelewa mtu is the key, ni lazima mjuane, sio wananaume/wanawake wote wanaability za ku communicate, jee can you see beyond his/her communication? maana mi wakwangu ni mkimya au mzito kiasi flani kuongea, thats not an excuse but its a fact, kama nampenda siwezi siwezi kumsulubisha kwa sababu ya alivoumbwa, I have to take that into consideration, ila sasa na yeye upande wake ananielewa kuwa mi mpenziwe ni maneno mengi, so he sees past that................. it takes two to tangle......
hahaha so interesting,
On a second though, in the event kwamba mnaamini kwamba mmejuana, mmefahamiana, na bado mtu ana behave in a strabge way, as if ile "sema Su and I am gone" hapo unapata picha gani?
wakati uko kwenye process ya kujuana yani hukuona hata dalili moja ya.... "sema Su and I am gone",
mimi binafsi sifagilii kabisa hiyo tabia ya "umimi", yaani ni kama mtu anakufanyia favour kuwa na wewe, c'mon, kila mtu ana needs katika mapenzi ndo maana anafuta mtu... watu wengi wanendelea kuwag'ag'ania watu wenye tabia hii kwa sababu tu, na yeye anafaidika...labda pesa,au esteem mtaani, etc etc...
lakini kama wewe ishu ni mapenzi huyu wa "sema su am gone" anakua hakufai, hata kama alipretend mwanzo baadae tabia yake inaonekana u just have to let go and you can alwys find a person (sio mkamilifu), ila mwenye nia ya kufight for his/her relationship.
Ushauri wa Mjukuu nimeupenda sana actually i have learnt something from it once again thanksThe finest this is vere vere useful post of the year 2011 dah! Yaani mi nilikua nashangaaga 2 m2 anaonekana anakupenda lakini ana mauzi ucpime. Thanks dearest 2tajitahid kuvumilia na pia 2kichukua na ushauri wa MJ1 hapo juu kwamba uvumilivu una kipimo
Mwenyekiti heshima yakou couldnt have said it better...I love it.....wow....thanks God for what you have Given me...!:clap2::clap2:
mmmhhh huwezi amini mi nilivosoma sadist, basi nikaweka maana yangu tofauti...yaani kama mtu mnyonge flani anaehitaji msaada, basi ulivoreply hii post nikaenda kuangalia the true meaning of a sadist...
Someone who obtains pleasure from inflicting pain on others
ur right my d, kama ndo maana yake mi hata hawa sikubaliani nao kabisa.... na hawa watu kuwajua ni rahisi sana.... they cant handle things not going their way........
About milmani city sina taarifa bado ngoja tusubiri wadau watujuze.....
:clap2::clap2::clap2:Teh teh! Mkuu naona umegusa wadau kwa kiac kikubwa sana. Ni suala la kuvumiliana pande zote. Sisi ni binadamu na hatujakamilika. Kwenye mapungufu tusameheane,kwenye furaha tupongezane na kupeana moyo. Hivyo ndivyo maisha yanavyoenda.
Where are you?????Taarab mi penda na huenda,na waga nafurahia sana....vituko vipo vingi sana ila kusema ukweli yahitaji ujilipue kidogo ndo uende..ukienda na fahamu na reasoning yako....utashangaa sana na hata kuzimia....kuona jinsia yako waki........duh,waweza ua mtu....na ulivyo mzuri....mh
Where are you?????
Damn!!! What's up hommie some gud newz hope its all gudshe went out.....till keshoooooo
Wakati mwingine mtu anaweza kufanya mambo ya kukuumiza moyo na sio kwamba anafanya makusudi bali ni kujisahau kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu
Unajua katika mapenzi unaweza ukaishi na mtu akakupa tabu sana,ila uvumilivu ni kitu cha busara,kwani inawezekana akakusumbua sana,akukera kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu lakini bado unahitaji kuendelea kuwa naye maana licha ya kukukera ,ila anakupenda kwa dhati. kumbuka kuwa uvumilivu ni nguzo ya pekee ili tuweze kufika mbali katika mahusiano ukizingatia kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha.
Tusiachane jamani embu fikiria utaacha au kuachwa na wangapi kama ukiwa si mvumilivu,wakati mwingine mtu anaweza akakukera lakini hakukusudia bado anahitaji uwepo wako hivyo ni muhimu kumsaidia kutokana na matatizo aliyonayo huenda kuna siku ataelewa vipi aishi na mwenzie,ingawa inawezekana ikachukua muda mrefu hasa kama atakuwa hapendi kufanyia kazi ushauri wa mwenzake.
UVUMILIVU NI WA MUHIMU KWANI VINGINEVYO HATUTAFIKA NA PIA NI MUHIMU KUYAGUNDUA MAPUNGUFU ULIYONAYO ILI UJIREKEBISHE.
Ni hayo tu.
We only DO-ONCENashangaa nimechelewa kukupa konzi la thanx, anyway mambo ya DO-ONCE yanatuharibia siku
Damn!!! What's up hommie some gud newz hope its all gud
The harder it gets, just know you are about to reach the attained goals lol!!!!!!!!getting harder and harder....l.o.l
I wonder where is my wifegetting harder and harder....l.o.l
Loud and ClearOk.... but Not infedility....hapo hakuna hii..."""" Wakati mwingine mtu anaweza kufanya mambo ya kukuumiza moyo na sio kwamba anafanya makusudi bali ni kujisahau kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu """
WE gotta mean biznezz in every aspect..not just dabbling.