Dr Justice
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 797
- 855
Ha ha ha ha lol!!! I miss you too wit
sasa mbona unacheka tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha lol!!! I miss you too wit
Leo naona unanikaba hadi nikitaka kupiga penalti na yenyewe unakabasasa mbona unacheka tena?
Ni kweli uvumilivu nao una mwisho wake ukifikia kikomo hauwezi kuendelea kuvumiliaMh! ni kweli lakini uvumilivu unaokufanya upate hata maradhi yanayoweza kukuletea umauti si hatari zaidi? maana unajaribu kumsihi ajirekebishe wala haonyeshi hata dalili za kuacha mambo yanayokuumiza mwisho ni kisukari na presha ya kupanda na kushuka.
Aisee una uvumilivu wa kutosha?well said The Finest, thanx
Aisee una uvumilivu wa kutosha?
Umenena vyema... lakini kumbuka siku zote usiwe mtumwa wa binadamu mwenzako in the name of love au uvumilivu... SOME PEOPLE ARE JUST NOT MADE FOR EACH OTHERWakati mwingine mtu anaweza kufanya mambo ya kukuumiza moyo na sio kwamba anafanya makusudi bali ni kujisahau kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu
Unajua katika mapenzi unaweza ukaishi na mtu akakupa tabu sana,ila uvumilivu ni kitu cha busara,kwani inawezekana akakusumbua sana,akukera kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu lakini bado unahitaji kuendelea kuwa naye maana licha ya kukukera ,ila anakupenda kwa dhati. kumbuka kuwa uvumilivu ni nguzo ya pekee ili tuweze kufika mbali katika mahusiano ukizingatia kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha.
Tusiachane jamani embu fikiria utaacha au kuachwa na wangapi kama ukiwa si mvumilivu,wakati mwingine mtu anaweza akakukera lakini hakukusudia bado anahitaji uwepo wako hivyo ni muhimu kumsaidia kutokana na matatizo aliyonayo huenda kuna siku ataelewa vipi aishi na mwenzie,ingawa inawezekana ikachukua muda mrefu hasa kama atakuwa hapendi kufanyia kazi ushauri wa mwenzake.
UVUMILIVU NI WA MUHIMU KWANI VINGINEVYO HATUTAFIKA NA PIA NI MUHIMU KUYAGUNDUA MAPUNGUFU ULIYONAYO ILI UJIREKEBISHE.
Ni hayo tu.
Kweli kabisa MZEE WA MEMKWA kuwa mtumwa in the name of love au uvumilivu itakuumiza sanaUmenena vyema... lakini kumbuka siku zote usiwe mtumwa wa binadamu mwenzako in the name of love au uvumilivu... SOME PEOPLE ARE JUST NOT MADE FOR EACH OTHER
<br /><font size="3"><font color="blue">Wakati mwingine mtu anaweza kufanya mambo ya kukuumiza moyo na sio kwamba anafanya makusudi bali ni kujisahau kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu<br />
<br />
Unajua katika mapenzi unaweza ukaishi na mtu akakupa tabu sana,ila uvumilivu ni</font></font> <font size="3"><font color="blue">kitu cha busara,kwani inawezekana akakusumbua sana,akukera kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu lakini bado unahitaji kuendelea kuwa naye maana licha ya kukukera ,ila anakupenda kwa dhati. kumbuka kuwa uvumilivu ni nguzo ya pekee ili tuweze kufika mbali katika mahusiano ukizingatia kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha.<br />
<br />
Tusiachane jamani embu fikiria utaacha au kuachwa na wangapi kama ukiwa si</font></font> <font size="3"><font color="blue">mvumilivu,wakati mwingine mtu anaweza akakukera lakini hakukusudia bado anahitaji uwepo wako hivyo ni muhimu kumsaidia kutokana na matatizo aliyonayo huenda kuna siku ataelewa vipi aishi na mwenzie,ingawa inawezekana ikachukua muda mrefu hasa kama atakuwa hapendi kufanyia kazi ushauri wa mwenzake.<br />
<br />
UVUMILIVU NI WA MUHIMU KWANI VINGINEVYO HATUTAFIKA NA PIA NI MUHIMU KUYAGUNDUA MAPUNGUFU ULIYONAYO ILI UJIREKEBISHE.</font></font> <br />
<br />
Ni hayo tu.
It is true try to show that one u love not to take advantage of your delicate loveTrue...., We always hurt those who loves us most..... Lakini Tukumbuke not to take advantage of the love, someone feels for us, knowing or thinking that they will always forgive us.
Soma title yake mkuu, you can take it or leave it<br />
<br />
jiheshimu wewe izo time za kutesana zishapitwa na wakat, we uteseke dunian kwa ajili ya mpumbavu mmoja kesho tena mginguni moto unakusubiri sasa izo akili au matope, take care hizi sio karne za kua mtumwa wa mapenz akizingua unasepa mbona hawa wadudu wako wengi sana au we domo zege nini?
True!!!!!Maoni yangu, kuna watu humu jamvini wakiongelea mapenzi naona kushoto kweli kama mkuu TF, unajua kila mtu anamfikiria mtu kutokana na post zake, kwa huyu kaka namwonaga kama padri fulani, asiyejishughulisha na mambo ya mapenzi Nikirudi kwenye mada, kwa kweli ni muhimu kujua mwenzako weakness zake, itakufanya kumwelewa na kuweza kumchukulia kwa namna yeyote, as long as mapenzi yapo, sababu wengine huwa ni wagomvi tu na ugomvi wao haumaanishi hakupende la hasha, ndivo alivyo, uvumilivu kwenye mahusiano ni kitu namba moja
Shantel nimecheka kweli kitu gani kimekuja kichwani ukaamua kusema hivyoMaoni yangu, kuna watu humu jamvini wakiongelea mapenzi naona kushoto kweli kama mkuu TF, unajua kila mtu anamfikiria mtu kutokana na post zake, kwa huyu kaka namwonaga kama padri fulani, asiyejishughulisha na mambo ya mapenzi Nikirudi kwenye mada, kwa kweli ni muhimu kujua mwenzako weakness zake, itakufanya kumwelewa na kuweza kumchukulia kwa namna yeyote, as long as mapenzi yapo, sababu wengine huwa ni wagomvi tu na ugomvi wao haumaanishi hakupende la hasha, ndivo alivyo, uvumilivu kwenye mahusiano ni kitu namba moja