Ni ushauri tu: You can either take it or leave it

Ni ushauri tu: You can either take it or leave it

Mh! ni kweli lakini uvumilivu unaokufanya upate hata maradhi yanayoweza kukuletea umauti si hatari zaidi? maana unajaribu kumsihi ajirekebishe wala haonyeshi hata dalili za kuacha mambo yanayokuumiza mwisho ni kisukari na presha ya kupanda na kushuka.
 
Mh! ni kweli lakini uvumilivu unaokufanya upate hata maradhi yanayoweza kukuletea umauti si hatari zaidi? maana unajaribu kumsihi ajirekebishe wala haonyeshi hata dalili za kuacha mambo yanayokuumiza mwisho ni kisukari na presha ya kupanda na kushuka.
Ni kweli uvumilivu nao una mwisho wake ukifikia kikomo hauwezi kuendelea kuvumilia
 
Wakati mwingine mtu anaweza kufanya mambo ya kukuumiza moyo na sio kwamba anafanya makusudi bali ni kujisahau kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu

Unajua katika mapenzi unaweza ukaishi na mtu akakupa tabu sana,ila uvumilivu ni
kitu cha busara,kwani inawezekana akakusumbua sana,akukera kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu lakini bado unahitaji kuendelea kuwa naye maana licha ya kukukera ,ila anakupenda kwa dhati. kumbuka kuwa uvumilivu ni nguzo ya pekee ili tuweze kufika mbali katika mahusiano ukizingatia kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha.

Tusiachane jamani embu fikiria utaacha au kuachwa na wangapi kama ukiwa si
mvumilivu,wakati mwingine mtu anaweza akakukera lakini hakukusudia bado anahitaji uwepo wako hivyo ni muhimu kumsaidia kutokana na matatizo aliyonayo huenda kuna siku ataelewa vipi aishi na mwenzie,ingawa inawezekana ikachukua muda mrefu hasa kama atakuwa hapendi kufanyia kazi ushauri wa mwenzake.

UVUMILIVU NI WA MUHIMU KWANI VINGINEVYO HATUTAFIKA NA PIA NI MUHIMU KUYAGUNDUA MAPUNGUFU ULIYONAYO ILI UJIREKEBISHE.


Ni hayo tu.
Umenena vyema... lakini kumbuka siku zote usiwe mtumwa wa binadamu mwenzako in the name of love au uvumilivu... SOME PEOPLE ARE JUST NOT MADE FOR EACH OTHER
 
Umenena vyema... lakini kumbuka siku zote usiwe mtumwa wa binadamu mwenzako in the name of love au uvumilivu... SOME PEOPLE ARE JUST NOT MADE FOR EACH OTHER
Kweli kabisa MZEE WA MEMKWA kuwa mtumwa in the name of love au uvumilivu itakuumiza sana
 
Nimeupenda sana huu ushauri dah humu kuna great thinkers wa ukweli
 
Muhimu ni UPENDO. Uvumilivu una mwisho,upendo hauna mwsho..
 
<font size="3"><font color="blue">Wakati mwingine mtu anaweza kufanya mambo ya kukuumiza moyo na sio kwamba anafanya makusudi bali ni kujisahau kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu<br />
<br />
Unajua katika mapenzi unaweza ukaishi na mtu akakupa tabu sana,ila uvumilivu ni</font></font> <font size="3"><font color="blue">kitu cha busara,kwani inawezekana akakusumbua sana,akukera kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu lakini bado unahitaji kuendelea kuwa naye maana licha ya kukukera ,ila anakupenda kwa dhati. kumbuka kuwa uvumilivu ni nguzo ya pekee ili tuweze kufika mbali katika mahusiano ukizingatia kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha.<br />
<br />
Tusiachane jamani embu fikiria utaacha au kuachwa na wangapi kama ukiwa si</font></font> <font size="3"><font color="blue">mvumilivu,wakati mwingine mtu anaweza akakukera lakini hakukusudia bado anahitaji uwepo wako hivyo ni muhimu kumsaidia kutokana na matatizo aliyonayo huenda kuna siku ataelewa vipi aishi na mwenzie,ingawa inawezekana ikachukua muda mrefu hasa kama atakuwa hapendi kufanyia kazi ushauri wa mwenzake.<br />
<br />
UVUMILIVU NI WA MUHIMU KWANI VINGINEVYO HATUTAFIKA NA PIA NI MUHIMU KUYAGUNDUA MAPUNGUFU ULIYONAYO ILI UJIREKEBISHE.</font></font> <br />
<br />
Ni hayo tu.
<br />
<br />
jiheshimu wewe izo time za kutesana zishapitwa na wakat, we uteseke dunian kwa ajili ya mpumbavu mmoja kesho tena mginguni moto unakusubiri sasa izo akili au matope, take care hizi sio karne za kua mtumwa wa mapenz akizingua unasepa mbona hawa wadudu wako wengi sana au we domo zege nini?
 
the most difficult thing in this world is to wait yaani ukiweza kuwa na subra ktk dunia hii wewe umefaulu maana ninavyoona mm kufanya subra ni sawa na kunywa shubiri bila kufunga macho unywe kama soda ndo kitu kinachowashinda wengi,tujitahidi wakuu tuwe na subra kwa kila jambo
 
True...., We always hurt those who loves us most..... Lakini Tukumbuke not to take advantage of the love, someone feels for us, knowing or thinking that they will always forgive us.
It is true try to show that one u love not to take advantage of your delicate love
 
Maoni yangu, kuna watu humu jamvini wakiongelea mapenzi naona kushoto kweli kama mkuu TF, unajua kila mtu anamfikiria mtu kutokana na post zake, kwa huyu kaka namwonaga kama padri fulani, asiyejishughulisha na mambo ya mapenzi Nikirudi kwenye mada, kwa kweli ni muhimu kujua mwenzako weakness zake, itakufanya kumwelewa na kuweza kumchukulia kwa namna yeyote, as long as mapenzi yapo, sababu wengine huwa ni wagomvi tu na ugomvi wao haumaanishi hakupende la hasha, ndivo alivyo, uvumilivu kwenye mahusiano ni kitu namba moja
 
<br />
<br />
jiheshimu wewe izo time za kutesana zishapitwa na wakat, we uteseke dunian kwa ajili ya mpumbavu mmoja kesho tena mginguni moto unakusubiri sasa izo akili au matope, take care hizi sio karne za kua mtumwa wa mapenz akizingua unasepa mbona hawa wadudu wako wengi sana au we domo zege nini?
Soma title yake mkuu, you can take it or leave it
 
Maoni yangu, kuna watu humu jamvini wakiongelea mapenzi naona kushoto kweli kama mkuu TF, unajua kila mtu anamfikiria mtu kutokana na post zake, kwa huyu kaka namwonaga kama padri fulani, asiyejishughulisha na mambo ya mapenzi Nikirudi kwenye mada, kwa kweli ni muhimu kujua mwenzako weakness zake, itakufanya kumwelewa na kuweza kumchukulia kwa namna yeyote, as long as mapenzi yapo, sababu wengine huwa ni wagomvi tu na ugomvi wao haumaanishi hakupende la hasha, ndivo alivyo, uvumilivu kwenye mahusiano ni kitu namba moja
True!!!!!
 
Maoni yangu, kuna watu humu jamvini wakiongelea mapenzi naona kushoto kweli kama mkuu TF, unajua kila mtu anamfikiria mtu kutokana na post zake, kwa huyu kaka namwonaga kama padri fulani, asiyejishughulisha na mambo ya mapenzi Nikirudi kwenye mada, kwa kweli ni muhimu kujua mwenzako weakness zake, itakufanya kumwelewa na kuweza kumchukulia kwa namna yeyote, as long as mapenzi yapo, sababu wengine huwa ni wagomvi tu na ugomvi wao haumaanishi hakupende la hasha, ndivo alivyo, uvumilivu kwenye mahusiano ni kitu namba moja
Shantel nimecheka kweli kitu gani kimekuja kichwani ukaamua kusema hivyo
 
Back
Top Bottom