Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Raisi ni ofisi sio mtu mkuu, ofisi haijasafiri mkuu.Tumeona teuzi za jana na leo zimefanyika kutokea Doha Qatar. Je ni jambo sahihi viongozi wa Afrika kwenda kufanyauteuzi nje ya mataifa yao ikiwa hali ya usalama na kisiasa ni tulivu?
Historia inayoonyesha kuna viongozi wengine wamewahi kuwa na huu utaratibu?
Tumeona teuzi za jana na leo zimefanyika kutokea Doha Qatar. Je ni jambo sahihi viongozi wa Afrika kwenda kufanyauteuzi nje ya mataifa yao ikiwa hali ya usalama na kisiasa ni tulivu? Historia inayoonyesha kuna viongozi wengine wamewahi kuwa na huu utaratibu?
BAVICHA munatapatapa hadi huruma 😁😁 uteuzi ulifanyika kabla rais hajaondoka Tangazo limetoka Ameondoka sasa tatz liko wapi?Tumeona teuzi za jana na leo zimefanyika kutokea Doha Qatar. Je ni jambo sahihi viongozi wa Afrika kwenda kufanyauteuzi nje ya mataifa yao ikiwa hali ya usalama na kisiasa ni tulivu? Historia inayoonyesha kuna viongozi wengine wamewahi kuwa na huu utaratibu?
Kwahiyo kwenye Barua zake za teuzi neno Doha limekosewa? Ficha Ujinga wakoRaisi ni ofisi sio mtu mkuu, ofisi haijasafiri mkuu.
Akili za konokono always zitachelewa kuelewa tu........ficha ujinga wako na jifunze kujiupdateBAVICHA munatapatapa hadi huruma 😁😁 uteuzi ulifanyika kabla rais hajaondoka Tangazo limetoka Ameondoka sasa tatz liko wapi? Au basi tufanye amemteua huko qatar, enhee kwahy sio msemaji? Au teuzi haijapita? Mengne mukalie kimya basi mupunguze kujiabisha kwa kutoa hoja za kitoto.
Magufuli alikuwa anateulia chatoTumeona teuzi za jana na leo zimefanyika kutokea Doha Qatar. Je ni jambo sahihi viongozi wa Afrika kwenda kufanyauteuzi nje ya mataifa yao ikiwa hali ya usalama na kisiasa ni tulivu?
Historia inayoonyesha kuna viongozi wengine wamewahi kuwa na huu utaratibu?
Kuna uzi hapa wa kuhesabu safari zake, kaona isiwe tabu bora akisepa asepe kimya kimyahalafu anaondoka tu kimyakimya kwani wananchi wamekufanyaje mpaka unaondoka kama mpangaji😎
inasaidia nini hiyo taswira?Tumeona teuzi za jana na leo zimefanyika kutokea Doha Qatar. Je ni jambo sahihi viongozi wa Afrika kwenda kufanyauteuzi nje ya mataifa yao ikiwa hali ya usalama na kisiasa ni tulivu?
Historia inayoonyesha kuna viongozi wengine wamewahi kuwa na huu utaratibu?
How do you question her presidential decree?!!! [emoji15][emoji15]Tumeona teuzi za jana na leo zimefanyika kutokea Doha Qatar. Je ni jambo sahihi viongozi wa Afrika kwenda kufanyauteuzi nje ya mataifa yao ikiwa hali ya usalama na kisiasa ni tulivu?
Historia inayoonyesha kuna viongozi wengine wamewahi kuwa na huu utaratibu?
Rais ni mtu sio ofisiRaisi ni ofisi sio mtu mkuu, ofisi haijasafiri mkuu.
Kwani tangazo hilo limewekewa anuani ya huko Doha Qatar?Tumeona teuzi za jana na leo zimefanyika kutokea Doha Qatar. Je ni jambo sahihi viongozi wa Afrika kwenda kufanyauteuzi nje ya mataifa yao ikiwa hali ya usalama na kisiasa ni tulivu?
Historia inayoonyesha kuna viongozi wengine wamewahi kuwa na huu utaratibu?
---
- Rais Samia ateua Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria