simplehamis
Member
- Feb 20, 2017
- 28
- 27
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ndio matokeo ya kuwa na RC anayetumia cheti cha mtu mwingine.Wewe mtoto wa kiume....Umri unakwenda huo....Utatembea na mbegu mpaka lini....la sivyo utaitwa mjomba hadi unazeeka.
Chanzo: Kizingiti
Wacha wee! Unataka kijana wa kiume afanye nini na hizo mbegu? Kama hajapata 'shamba' je? Ametulia kimkakati ali atumie hizo mbegu siku na kwa 'shamba' mwafaka.Wewe mtoto wa kiume....Umri unakwenda huo....Utatembea na mbegu mpaka lini....la sivyo utaitwa mjomba hadi unazeeka.
Chanzo: Kizingiti
Yaani ni sawa na kwamba anatumia nyota ya mtu.![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12]Haya ndio matokeo ya kuwa na RC anayetumia cheti cha mtu mwingine.
Halafu ana mbwembwe kumbe hakuna kitu.Yaani ni sawa na kwamba anatumia nyota ya mtu.![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12]