Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,713
Tatizo nyie wanawake ni walafi mnoUko sehemu umekaa na wenzako, mara anakuja mdogo wako, anakwambia mama kanituma nikwambie, ile sufuria ya uji atie maji au utailamba [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] ni UTANI tu...
Unaumri gani? Hebu tuanzie hapo.Uko sehemu umekaa na wenzako, mara anakuja mdogo wako, anakwambia mama kanituma nikwambie, ile sufuria ya uji atie maji au utailamba [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] ni UTANI tu...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tatizo nyie wanawake ni walafi mno
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]HahahHahaaaa umekaa na washikaj anakuja mawingu mawingu iv mvua inakaribia kunyesha dogo anakuja kaka kawahi kutoa godoro lako litayeshewa limeshakauka