Ni utapeli au napoteza bahati?



Huyo Mzungu anakaa Kisii Kenya, unapigwa
 
1. Hivi kama mtu ana uwezo wa kuinunua na kukutumia iPhone 16, anashindwaje kutoa 125,000/- ya usafiri?

2. Wasafirishaji huwa wanasafirisha mizigo mpaka unakoishia, haya ya kuufikisha mzigo nusu ya safari hayapo.

KIFUPI UKIWAENDEKEZA UTAPIGWA MUDA SI MREFU.
 
Wakenya hao ndugu yangu utaambiwa ulipie gharama za ndege sjui vitu gani UTAPIGWA stuka punguza wenge
 
Unatapeliwa, hao ni scammers wa Nigeria wakishirikiana na scammers wa mataifa mengine.
 
Unapigwa wizi wa zamani hakuna mzungu hapo. Utapigwa kama yule mama wa kifaransa aliyetuma euro 625000 eti akidhani anawasiliana na Brad Pit
 
Mzungu mwenyewe ni mwanamke, anaishi London, kakutumia na picha zake za utupu, au naongopa Mr.@SubTopic ?. kuwa makini hapo ohooo, kwanini huyo mzungu wako ashabihiane na mzungu wa mshkaj wangu dembele?
 
Mwambie huyo mzungu alipie hiyo gharama mzigo ukufikie
 
Utapigwa za uso
 
Huu ni utapeli tena una miaka mingi sana
 
Niliwapa namba ya mzungu ili wampigie alipie Tena ili mzigo niupate. mzungu akasema hajajiunga kwenye electronic money transfer kwaiyo nipambane mwenyewe kuukomboa mzigo kwani yeye amejitoa Sana nisimuangushe, na nikipokea mzigo nimjulishe
Mie hua nakopi muamala nauedit nawatumia...then wanaishia kunitukana😆..kopi muamala edit fresh watumie kalale zako
 
Niliwapa namba ya mzungu ili wampigie alipie Tena ili mzigo niupate. mzungu akasema hajajiunga kwenye electronic money transfer kwaiyo nipambane mwenyewe kuukomboa mzigo kwani yeye amejitoa Sana nisimuangushe, na nikipokea mzigo nimjulishe
Amka usingizini hakuna mzungu hapo ni hawa wanaijeria wanajikaliaga huku mbezi beach na wanatamba kweli viwanjani kumbe ninyi ndio Massapequa....
 
Huyo sio mzungu ila ana u IT fulan af pia hakuna cha sim hapo ila hyo hela utakayotuma ndo wanaitaka,inshu yote hyo imewah nikuta kama ilivyo nkachomoa, mm nimewah tapeliwa mara moja online nikiwa form one. ilikuwa n sh 15000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…