Ni utapeli au napoteza bahati?

Ni utapeli au napoteza bahati?

Kuna mzungu aliniomba urafiki Facebook baada ya kumkubalia akaniomba namba ya Whatsapp. Tukaanza kuwasiliana ndani ya siku mbili tatu akaahidi kunitumia mzigo ambao ni simu ya iPhone 16.

Yeye anaishi London uingereza na siku aliyotuma mzigo alisema kuwa amekosa ndege inayokuja moja kwa moja Tanzania hivyo akatuma kwenye ndege inayoishia Kenya maana walimwambia kuwa mzigo ukifika wanaweza kufanya
Haya Sasa we JICHANGANYE TU
Kuna mtu anaingizwa mjini sio mudaa
 
Kisa Changu Kiko hivi, Kuna mzungu aliniomba urafiki Facebook baada ya kumkubalia akaniomba namba ya Whatsapp. Tukaanza kuwasiliana ndani ya siku mbili tatu akaahidi kunitumia mzigo ambao ni simu ya iPhone 16.

Yeye anaishi London uingereza na siku aliyotuma mzigo alisema kuwa amekosa ndege inayokuja moja kwa moja Tanzania hivyo akatuma kwenye ndege inayoishia Kenya maana walimwambia kuwa mzigo ukifika wanaweza kufanya delivery uwanja wa ndege ulio karibu (hapahapa East Africa).

Basi bwana yule mzungu akatuma mzigo na akanitumia picha ya mzigo pamoja na risiti na zote Zina majina yangu maana aliniambia nimtumie majina yote matatu na namba ya simu, na akaniambia mzigo utafika Nairobi baada ya masaa 9 na akanisisitiza kuwa niwe Makini na muda kwani mzigo ukishafika watanijulisha na kweli baada ya masaa Tisa (mzigo aliutuma saa 2 usiku saa 11 ukawa umefika Jomo Kenyatta Airport Kenya).

Wale jamaa wa airport wakanipigia wakaniambia kuwa Kuna mzigo wangu wameupokea kutokea uingereza na umeshalipiwa Kila kitu ni Mimi kwenda na kitambulisho Changu tu nikauchukue.

Nikawaambia Mimi sipo Kenya nipo Tanzania Kama wanaweza kuutuma wautume. Kwa sehemu niliyowaambia wakasema inagharimu shilingi 125,000 ili mzigo ufike uwanja wa ndege niliopo.

Wamenionesha na picha ya mzigo kabisa ndio ule uliotumwa Kule uingereza. Sasa najiuliza hii kitu imekaaje? Maana wao wanasema mzungu kalipia mzigo mpaka pale ulipofikia Ila hizo gharama za kuja huku Tanzania ni gharama nyingine kwakuwa mzigo unatakiwa kukatiwa ticket na hiyo ni gharama ya ticket.

Na njia ya malipo wamesema naweza kutumia mpesa au Tigo pesa. Ndo najiuliza hapa nitumie au nakaribia kutapeliwa? Maana Sina uzoefu na upokeaji wa mizigo iliyotumwa kutokea nje ya nchi.

Nawasilisha wakuu. Naombeni ushauri wenu.
Pole sana, unaliwa soon
 
Bado upo nyuma Sana ndg, hio michezo sisi tumechezewa 2019
mm ilinitokea 2017, mwishowe nikamwambia we mngese tu, akjbu why are you insulting me? nikamjbu, kibo kumbe wazungu mnajua kiswahili na matusi yake? et akjbu are you talking abt kibo peak, nikamwambia, unakanyagwa, nikampa na kuful.
 
mm ilinitokea 2017, mwishowe nikamwambia we mngese tu, akjbu why are you insulting me? nikamjbu, kibo kumbe wazungu mnajua kiswahili na matusi yake? et akjbu are you talking abt kibo peak, nikamwambia, unakanyagwa, nikampa na kuful.
🤣🤣🤣😎
 
Kisa Changu Kiko hivi, Kuna mzungu aliniomba urafiki Facebook baada ya kumkubalia akaniomba namba ya Whatsapp. Tukaanza kuwasiliana ndani ya siku mbili tatu akaahidi kunitumia mzigo ambao ni simu ya iPhone 16.

Yeye anaishi London uingereza na siku aliyotuma mzigo alisema kuwa amekosa ndege inayokuja moja kwa moja Tanzania hivyo akatuma kwenye ndege inayoishia Kenya maana walimwambia kuwa mzigo ukifika wanaweza kufanya delivery uwanja wa ndege ulio karibu (hapahapa East Africa).

Basi bwana yule mzungu akatuma mzigo na akanitumia picha ya mzigo pamoja na risiti na zote Zina majina yangu maana aliniambia nimtumie majina yote matatu na namba ya simu, na akaniambia mzigo utafika Nairobi baada ya masaa 9 na akanisisitiza kuwa niwe Makini na muda kwani mzigo ukishafika watanijulisha na kweli baada ya masaa Tisa (mzigo aliutuma saa 2 usiku saa 11 ukawa umefika Jomo Kenyatta Airport Kenya).

Wale jamaa wa airport wakanipigia wakaniambia kuwa Kuna mzigo wangu wameupokea kutokea uingereza na umeshalipiwa Kila kitu ni Mimi kwenda na kitambulisho Changu tu nikauchukue.

Nikawaambia Mimi sipo Kenya nipo Tanzania Kama wanaweza kuutuma wautume. Kwa sehemu niliyowaambia wakasema inagharimu shilingi 125,000 ili mzigo ufike uwanja wa ndege niliopo.

Wamenionesha na picha ya mzigo kabisa ndio ule uliotumwa Kule uingereza. Sasa najiuliza hii kitu imekaaje? Maana wao wanasema mzungu kalipia mzigo mpaka pale ulipofikia Ila hizo gharama za kuja huku Tanzania ni gharama nyingine kwakuwa mzigo unatakiwa kukatiwa ticket na hiyo ni gharama ya ticket.

Na njia ya malipo wamesema naweza kutumia mpesa au Tigo pesa. Ndo najiuliza hapa nitumie au nakaribia kutapeliwa? Maana Sina uzoefu na upokeaji wa mizigo iliyotumwa kutokea nje ya nchi.

Nawasilisha wakuu. Naombeni ushauri wenu.
Yaani umeongea na mtu siku tatu tu akutumie mzigo. Mtakuja kunyofolewa Figo.
 
Nikawaambia Mimi sipo Kenya nipo Tanzania Kama wanaweza kuutuma wautume. Kwa sehemu niliyowaambia wakasema inagharimu shilingi 125,000 ili mzigo ufike uwanja wa ndege niliopo.
Hapo ndio mwisho wa story zao ndefu, lipa upokee zawadi hewa.
 
Kaka wewe waambie wakutumie mzigo ukifika , ndio watumie pesa, imeisha iyo
 
Kisa Changu Kiko hivi, Kuna mzungu aliniomba urafiki Facebook baada ya kumkubalia akaniomba namba ya Whatsapp. Tukaanza kuwasiliana ndani ya siku mbili tatu akaahidi kunitumia mzigo ambao ni simu ya iPhone 16.

Yeye anaishi London uingereza na siku aliyotuma mzigo alisema kuwa amekosa ndege inayokuja moja kwa moja Tanzania hivyo akatuma kwenye ndege inayoishia Kenya maana walimwambia kuwa mzigo ukifika wanaweza kufanya delivery uwanja wa ndege ulio karibu (hapahapa East Africa).

Basi bwana yule mzungu akatuma mzigo na akanitumia picha ya mzigo pamoja na risiti na zote Zina majina yangu maana aliniambia nimtumie majina yote matatu na namba ya simu, na akaniambia mzigo utafika Nairobi baada ya masaa 9 na akanisisitiza kuwa niwe Makini na muda kwani mzigo ukishafika watanijulisha na kweli baada ya masaa Tisa (mzigo aliutuma saa 2 usiku saa 11 ukawa umefika Jomo Kenyatta Airport Kenya).

Wale jamaa wa airport wakanipigia wakaniambia kuwa Kuna mzigo wangu wameupokea kutokea uingereza na umeshalipiwa Kila kitu ni Mimi kwenda na kitambulisho Changu tu nikauchukue.

Nikawaambia Mimi sipo Kenya nipo Tanzania Kama wanaweza kuutuma wautume. Kwa sehemu niliyowaambia wakasema inagharimu shilingi 125,000 ili mzigo ufike uwanja wa ndege niliopo.

Wamenionesha na picha ya mzigo kabisa ndio ule uliotumwa Kule uingereza. Sasa najiuliza hii kitu imekaaje? Maana wao wanasema mzungu kalipia mzigo mpaka pale ulipofikia Ila hizo gharama za kuja huku Tanzania ni gharama nyingine kwakuwa mzigo unatakiwa kukatiwa ticket na hiyo ni gharama ya ticket.

Na njia ya malipo wamesema naweza kutumia mpesa au Tigo pesa. Ndo najiuliza hapa nitumie au nakaribia kutapeliwa? Maana Sina uzoefu na upokeaji wa mizigo iliyotumwa kutokea nje ya nchi.

Nawasilisha wakuu. Naombeni ushauri wenu.
Kimbia mbio kabisaaaa
 
Kisa chako ni kama changu tena mimi lilikuwa lishangazi ukweli alikuwa anaishi USA. Tulikuwa tunasalimiana kwa video call usiku nikiwa job tunaongea hata lisaa na watoto wake wa2 wakike wote mmoja mkubwa nadhani ndo alikuwa ananitosha mimi kwa habari ya mbususu.......

Muda ukaenda sana tunaongea nae nami sikuwa na tamaa na niliamini ni mtu sahihi .Basi akanimbia nitume accoun no anipe $26,000 daaah nikasema bahati hii hapa sasa.Kabla sijatuma nilikuwa na m47 ya mkopo kwenye account yangu ya crdb nikamuuliza bro akaniambia mpe yangu ....huyu bro nilikuwa namshirikisha sana hili swala hadi narekodi maongezi yetu namtumia anasema umepata asee.. baada ya kutuma ile no akauliza mbona majina tofauti?

nikamjibu acc yangu inashida kubwa akasema usijari hizo pesa nitatuma pamoja na mizgo mingine..... siku ya kutuma ulivyotoa maelezo ni hivyohivyo sema vitu ni simu3 zote iphone computer 4 (laptop) JBL (radio) nguo vifaa vya michezo na viatu nk yalikuwa mabox2 na hela hizo wakuu kipindi anafunga huo mzigo huku ana record video then akatuma.Alinimbia computer na simu nitawapa wazazi pia na wife.


Nilipata hamasa then akatuma ticket halafu muda sio mrefu akatuma mzigo upo airpot ya huko USA!
Baada y muda akasema nimewasiliana na watu wa huko watakuchaji kama 1.421,000/= kama ushuru hivyo utawapa hiyo hela nikamwambia sawa .....baada ya masaa2 nikatumiwa msg ""Habar bwana ..... tuna pend kukupa taarifa kuwa mzigo wako utafika hapa uwanja wa ndege wa julius k nyerere saa5 usiku hivyo tunakuomba uwe karibu kuja kupokea mzigo huo... "baada ya msg hiyo mzungu wangu naye akanitumia txt umewasiliana nao nikamwambia ndio
.

Basi mzigo ukafika airpot wakanipigia simu nami nikawaambia nipo mkoani hapo anakuja mtu kuuchukua na hiyo hela. Wakakomaa hela haitolewi cash tunaomba ulipe kwa no hii nikawaambia sawa pigeni picha mkiwa na huo mzigo hapo airpot kwa nyerere then nifanye malipo .....wakawa kimya kama lisaa then wakanipigia tena sauti ya mwanamke hapo nimelala na wife anasikia na nilikuwa nimemwambia juu ya neema hii njema wife akasema wee lipa tu uondoe usumbufu. nikamwambia hapana kesho dogo ataenda kuuchukua hapo halafu akifika na kupokea ndo nitalipa.


Baada ya kushindwa kulipia cha ajabu nilipolomoshewa matusi na jianaume linasema usipende vya bure maku wewe mkuyundu wako..Khaaaaaah halafu nika blockiwa chap yani hata mzungu wangu nae akaniblock vilevile


Nikawaaza sana hadi leo sijawahi pata jibu hii connection huyu mzungu alitoa wapi? Ikumbukwe nina uhakika alikuwa anaisha USA kwa 100% maana alisema ana viwanda na kweli alikuwa anapiga video call naona hata siku ananunua simu na hizo vifaa hadi nachagua rangi za nguo yupo USA hata kiwanja cha ndege ni USA!!

Ilikuwa nikiwa night huku job nae yupo kwake viwandani na niliongea na wafanyakazi wake 2 cha ajabu ni huyu mbogo kunitukania hadi ama yangu.Niliumia sana na kupigwa butwaa hapohapo kaka mkubwa nilikaa kimya hadi aliponiuliza vipi kuhusu mzungu wako? nikamwambia tapeli lile. Hadi picha za wazazi wake na clip fupi alinitumia hata mimi nikifanya hivyo na mambo mengine mengi .....Hii connectioni huwa wana toa wapi hawa watu ?

Manyanza Yoda
 
Back
Top Bottom