Ni utapeli au napoteza bahati?

Mbongo humwambii kitu kwa mzungu hata ukimwambia ale Mavi ya mzungu atakula tu! Kwamba kuchati nae siku mbili tayari amekupa na iPhone? Mbona huu utapeli wa kitambo sana
 
Kumbe jamiiforum kuna vijana wajinga kiasi hiki?
Wewe mtoa mada umezaliwa wapi?
 
Nimekutana navyo mara nyingi tu Swahiba...
Hadi kwenye email huko..🤣
Hiyo miujiza ilifanyika enzi za Musa na Wana wa Israeli tena ulikuwa ni msosi tu. Sasa dunia hii ilivyochafuka unapataje free boat?? 🤣🤣🤣
 
Nimepitia coments zote za huu uzi,wengi wanamwambia jamaa anatapeliwa,ila kwa kuwa akili ni nywele kila munu ana zake basi atadhani wanamuonea wivu asipate iphone16 basi nadhani atatuma. Na akituma habari yake itaishia hapo.
 
utapeli huo mwenyewe yame wai nikuta DHL ndo walisanua nilipo enda ofisini kwao
 
Alafu unaweza kuta sio mzungu ni waafrika hawa hawa wanajua kuna Mtu ataingia kingi
Na wazngu pia wapo mkuu,kipind nakaa nyumba za kupanga moro Town Kuna jamaa muuza nguo alipigwa ad alipagawa akaletewa mzungu n jamaa yake wa kalibu yule mzungu anadai alitokea mikum akasema ampe M3 akamletee mizogo ya ngu ya kutosha content 2 na nusu mwamba akaingia kingi kauza ad boda yake katoa na ela ya mtaji wa nguo kampa mzungu baada ya kumpa akimpigia mzungu sim hapatikan na yule mbongo ambae n mwanae wa faida pia hapatikan n mtihan Sana kwakweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…