Ni utapeli au napoteza bahati?

Ni utapeli au napoteza bahati?

😂😂😂😂😂
Hakuna cha mzigo wala nini au mzungu, huo utapeli wa kizamani sana na ukijichanganya ukatuma hela tu imekula kwako mbuzi ww
 
Mkuu Nina ushuhuda mtu wa kupigwa Kwa style hio akabaki na den la laki nane na nusu,pia mm mwaka Jana akaja mzungu mmoja Kwa gear iyo iyo nikawa achia mzigo wao hapo Kenya 😂😂 sitakag ujinga mm Yan nimeona mtu kapigwa Kwa mfumo huo na mm Tena nijichanganye,Aya juzi Tena kuna mzungu kanichek FB anasema katokea Canada yupo mwanza ila ajabu anataka nitumie pesa kwenye card yake sijui na nn nikampotezea mazima,hawa rangi nyeupe siku izi nao wekua wakina Mr kasongo 😂😂😂😂
Alafu sio wazungu sasa ni waafrika hasa kenya na nigeria wanajua wabongoo maboyaa kibaooo...!
 
Alafu sio wazungu sasa ni waafrika hasa kenya na nigeria wanajua wabongoo maboyaa kibaooo...!
Ni kweli kabisa. Hakuna cha eti mzungu..... Hakunnna'. Hao matapeli Ni weusi tii wanakuwa ni wabongo wenzetu ama ni Wakenya au Wanaigeria lakini wapo hapa hapa Tz. wanakuwa wameshakusoma na wanajua waTz wanapenda sana "Kitonga". then hapo ndo unapigwa na kitu kizito.
 
Niliwapa namba ya mzungu ili wampigie alipie Tena ili mzigo niupate. mzungu akasema hajajiunga kwenye electronic money transfer kwaiyo nipambane mwenyewe kuukomboa mzigo kwani yeye amejitoa Sana nisimuangushe, na nikipokea mzigo nimjulishe
Unanchekesha sana unapomuita mzungu🤣🤣🤣. Huyu kwa uhakika ni mswahili mmoja yupo kigurunyembe na dictionary yake anakuchora tu
 
Back
Top Bottom