Ni utaratibu upi wa kubadili combination?

Ni utaratibu upi wa kubadili combination?

Serena

Senior Member
Joined
Apr 4, 2014
Posts
124
Reaction score
125
Wadau,

Naomba nijulishwe kuhusu utaratibu wa kubadili combination, say kutoka PCB kwenda HGL ambazo zote zinatolewa kwenye shule hiyo hiyo.

Nina maana kwamba mwanafunzi amechaguliwa PCB lkn anataka abadili na kusoma HGL ndani ya shule hiyo hiyo.

Natanguliza shukrani.
 
Simple. Anaenda kwa academic kuomba kubadilisha then watampa procedure. Ila huwa wanatoa muda maalum wa kubadilisha comby say miezi 2 ya mwanzo tu. So (s) he better do it fast and quick. Kila shule ina utaratibu wake....aende kwa academic
 
Simple. Anaenda kwa academic kuomba kubadilisha then watampa procedure. Ila huwa wanatoa muda maalum wa kubadilisha comby say miezi 2 ya mwanzo tu. So (s) he better do it fast and quick. Kila shule ina utaratibu wake....aende kwa academic

Ahsante sana ndugu yangu. Vipi kwa case ya mtu kuhamia shule nyingine, kwani mtoto huyo kachaguliwa kwenda Ludewa PCB na amesoma shule ya Kata/day wilayani Rorya. Wazazi wake kiuchumi wako vibaya na unaweza ukaona tu jinsi nauli tu itakavyowakamua hawa wazazi ambao waliweza tu kumsomesha mtoto wao shule ya day.

Hakika wazazi wangependa mtoto wao atimize ndoto yake lkn umbali kwao ni tatizo hasa kuhusu gharama za shule. Kwa upande wa Private Schools hawawezi, kwani uchumi wao ni mbovu sana, na ktk upangaji wa shule za serikali ndiyo huyu kijana amejikuta anapelekwa Ulayasi Secondary School iliyoko wilayani Ludewa.

Naombeni ushauri tafadhali kama kuna namna huyu mtoto anaweza akahamia japo shule zilizoko Mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa Combination ya PCB au kama anaweza akabadilsha Combi na kuhamia japo maeneo hayo ya kanda ya Ziwa.

Naomba mwenye kuelewa utaratibu, gharama, na ugumu/urahisi wa jambo hili anisaidie ushauri, kwani nipo mbali kidogo.

Ahsanteni sana.
 
Ahsante sana ndugu yangu. Vipi kwa case ya mtu kuhamia shule nyingine, kwani mtoto huyo kachaguliwa kwenda Ludewa PCB na amesoma shule ya Kata/day wilayani Rorya. Wazazi wake kiuchumi wako vibaya na unaweza ukaona tu jinsi nauli tu itakavyowakamua hawa wazazi ambao waliweza tu kumsomesha mtoto wao shule ya day.

Hakika wazazi wangependa mtoto wao atimize ndoto yake lkn umbali kwao ni tatizo hasa kuhusu gharama za shule. Kwa upande wa Private Schools hawawezi, kwani uchumi wao ni mbovu sana, na ktk upangaji wa shule za serikali ndiyo huyu kijana amejikuta anapelekwa Ulayasi Secondary School iliyoko wilayani Ludewa.

Naombeni ushauri tafadhali kama kuna namna huyu mtoto anaweza akahamia japo shule zilizoko Mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa Combination ya PCB au kama anaweza akabadilsha Combi na kuhamia japo maeneo hayo ya kanda ya Ziwa.

Naomba mwenye kuelewa utaratibu, gharama, na ugumu/urahisi wa jambo hili anisaidie ushauri, kwani nipo mbali kidogo.

Ahsanteni sana.

Kumhamisha mwanafunzi shule sio process rahisi.
Na siku hizi unaenda wizarani (Dar) ukiwa na barua ya kukubaliwa kutoka shule anayotaka kuhamia. Kama mbunge/DC/RC wenu msikivu washauri hao wazazi waende wakaombe msaada huko. Ili waweze kumuhamisha haraka
 
Kumhamisha mwanafunzi shule sio process rahisi.
Na siku hizi unaenda wizarani (Dar) ukiwa na barua ya kukubaliwa kutoka shule anayotaka kuhamia. Kama mbunge/DC/RC wenu msikivu washauri hao wazazi waende wakaombe msaada huko. Ili waweze kumuhamisha haraka

Thanks.
 
Back
Top Bottom