Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatuichagui ila alichosema nape ndo ukweli wenyewe ccm haiongozi nchi kuchaguliwa bali kwa sababu wao wanaandaa uchaguzi kisha wanajitangaza kuwa wameshinda tunahitaji mabadiliko.Wewe si unasema tuu kuwa tumeichoka CCM, sisi wenzako ni waandishi wa habari, sio tuu tumesema, bali pia tumeandika sana tuu, CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! hata uichoke vipi kama hakuna mbadala, tutaendelea kuichagua tuu CCM mwaka hadi mwaka mpaka mbadala upatikane!.
P
Ushauri mbovu na wa hovyo...Wasalaam,
Inafahamika wazi nchi hii hakuna vyama vya upinzani zaidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA). Vyama vingine vyote vinavyojiita vya upinzani ni matawi ya CCM na vimeanzishishwa ili kudhoofisha nguvu za CHADEMA.
Sasa kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa baadae mwaka huu ni vema chadema WASISHIRIKI uchaguzi huu ambao unasimiwa na makada wa CCM ambao wameshaahidi tena hadharani kwamba hakuna kata itakayoenda upinzani.
Nawashauri CHADEMA kama kweli wapo kwa ajili ya kulikomboa taifa hili dhidi ya mkoloni mweusi CCM basi wadai Tume Huru ya kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa na sio kuwaachia kina Mchengerwa wafanye hujuma kama walivyomuahidi mwenyekiti wao ambae ndie mteuzi wa wasimamizi wa uchaguzi huo.
Angalizo: Endapo CHADEMA watashikiriki uchaguzi huu katika MAZINGIRA haya batili basi watanzania wenye kujitambua wataamini nchi hii hakuna chama cha upinzani wote ni ccmB na mnalamba asali na kusaliti matumaini ya watanganyika kwenu.
Ova.
Utawasaidia sana wapiga kura ukiusema huo ubora wa Chadema, ili wapiga kura tuwachague Chadema tuwakabidhi Ikulu yetu.Ni kweli chadema haijajipanga vyema kuing'oa ccm madarakani lakini ni bora chadema kuliko ccm
exactlyWewe si unasema tuu kuwa tumeichoka CCM, sisi wenzako ni waandishi wa habari, sio tuu tumesema, bali pia tumeandika sana tuu, CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! hata uichoke vipi kama hakuna mbadala, tutaendelea kuichagua tuu CCM mwaka hadi mwaka mpaka mbadala upatikane!.
P