Ni vema hili tatizo la umeme likatatuliwa haraka. Kazi zinafanyika siku mbili kati ya saba za wiki

Ni vema hili tatizo la umeme likatatuliwa haraka. Kazi zinafanyika siku mbili kati ya saba za wiki

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Au huu mgao ni huku tu? Wanakata Jtatu, tano na leo ijumaa. Wanawasha siku mbili za wiki na wikiendi. Hii inasumbua uchumi wa watu sana.

Taifa litaendeleaje kwa kufanya kazi siku mbili.

Fanyeni mpango kutatua hii shida. Hatuwezi enda hivi hadi mvua zije mabwawa yajae.
 
Au huu mgao ni huku tu? Wanakata Jtatu, tano na leo ijumaa. Wanawasha siku mbili za wiki na wikiendi. Hii inasumbua uchumi wa watu sana. Taifa litaendeleaje kwa kufanya kazi siku mbili.
Fanyeni mpango kutatua hii shida. Hatuwezi enda hivi hadi mvua zije mabwawa yajae.
Kuna watu itakuwa wanafaidika hapo kiongozi
 
Obvious, hili tatizo ni la kutengenezwa na baadhi ya watu humohumo ndani ya serikali...

Haiwezekani kwamba, hali ya umeme kwa kipindi cha miaka takribani saba tangu 2015 ilisha - stabilize kwa karibu 90%, lakini ghafla imeingia regime mpya ya Mama Samia na watu wake, hali imebadilika ghafla na kurudi kule zama za symbion na IPTL za kina mzee Jakaya Kikwete...!

Wananchi tuamkeni....

Kuna roho za kuzimu na za kishetani zimekalia kiti cha Ikulu ya nchi hizi...

Hawa roho wachafu wana sura na maumbo ya kibinadamu lakini kiutendaji ni mashetani wabaya, wauaji na wachinjaji...

Roho hawa wachafu ndio wanaoelekeza raia wa nchi hii kuishi maisha ya kuzimu ya mateso ya wakiwa hapa duniani kwa kuharibu mifumo ya maisha bora ya kijamii...

Kiongozi yeyote asiyepatana nayo akitokea kukitaka kiti hicho, kama hana Mungu wa Kweli na Yesu Kristo mwana wa Mungu, kwa hakika kabisa watamchinjilia mbali kama walivyofanya kwa John P. Magufuli...

Wana wa Mungu Yehova katika Yesu Kristo, twendeni vitani na tupigane vita ya rohoni kwa njia ya kuomba sana kwa ajili ya nchi na taifa letu hili zuri...

Hana uwezo wowote huyu mfalme wa anga na kuzimu. Sisi tunaye mfalme wa wafalme, YESU KRISTO ambaye alishamshinda yeye aliyekuwa na nguvu ya mauti yaani - Ibilisi ili sisi wana wa Tanganyika tuwekwe huru. Ni uamuzi tu...!!
 
Kiongozi yeyote asiyepatana nayo akitokea kukitaka kiti hicho, kama hana Mungu wa Kweli na Yesu Kristo mwana wa Mungu, kwa hakika kabisa watamchinjilia mbali kama walivyofanya kwa John P. Magufuli...
Kwa kumuweka shetani kati ya kundi la wenye Mungu wa kweli na Yesu Kristo mwana wa Mungu, umeharibu comment yako.
 
Au huu mgao ni huku tu? Wanakata Jtatu, tano na leo ijumaa. Wanawasha siku mbili za wiki na wikiendi. Hii inasumbua uchumi wa watu sana.

Taifa litaendeleaje kwa kufanya kazi siku mbili.

Fanyeni mpango kutatua hii shida. Hatuwezi enda hivi hadi mvua zije mabwawa yajae.
Kumbe huku Kigoma tungebaki na majenereta yetu huu umeme wa gridi majanga sana.
 
Kwa kumuweka shetani kati ya kundi la wenye Mungu wa kweli na Yesu Kristo mwana wa Mungu, umeharibu comment yako.
Kwa hili, John P. M hakuwa shetani 😈😈

Alifanya vizuri sana na mimi nasema, kwa umeme alikuwa more brilliant kuliko hawa wa sasa...

Hawa kwa macho ni kama watu lakini actually, they are devils in human shapes...!!
 
Back
Top Bottom