butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
Kushindwa kudhibiti gharama za mahitaji muhimu ya Wananchi wake!johnthebaptist na wengine naomba mnipe indicators ambazo mtu anaweza kuzitumia kuonesha kuwa Rais fulani/mtawala fulani/serikali fulani imeshindwa kutawala....
Ata Bibi tungekuwa tunajielewa angefurushwa Ikulu!