SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Siku si nyingi watatuambia lilipo kaburi la Ben SaananeUnataka kutuambia CCM ndio waliompiga Lissu risasi, mmeanza kutoa siri mwisho mtatajana majina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku si nyingi watatuambia lilipo kaburi la Ben SaananeUnataka kutuambia CCM ndio waliompiga Lissu risasi, mmeanza kutoa siri mwisho mtatajana majina.
Ulitaka zitto awe na uso lain lain kama wako wewe mtoto wa kike?Ni maswahiba wakubwa na wote nyuso zao zina vinundu vinunduView attachment 2230521
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Keshafika bei kama akina Mollel......Hahahaaaa....... Mdee mmemchoka kabisa hapo Ufipa!
Ni sawa kurusha LAWAMA Kwa WASALITI, Bt msisahau KULAANI UGONJWA mbaya unaoitwa CCM. Ndo Iko nyuma ya kila k2Wakati wa uchaguzi mkuu 2020 aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Kawe kupitia Chadema Halima Mdee aliutangazia umma kuwa amekamata mabegi yenye kura feki akasema hatotambua matokeo yake leo kaungana na waliomuibia kura.
Jana kwenye uchaguzi mdogo wa majimbo ya Muhambwe na Buhigwe.
Asubuhi: Zitto Kabwe, tumetekwa na watu wenye mapanga maisha yetu yako hatarini, kuna magari matatu yamejaza maboksi yenye kura feki.
Jioni: Zitto, naipongeza CCM kwa ushindi wa halali kabisa Tume ya Uchaguzi imefanyakazi yake kwa weledi.
Binafsi nashindwa kuwatofautisha wanasiasa hawa wawili ndumilakuwili ukiwaacha (Mrema, Cheyo na Lipumba) matendo yao yanafanana kwa kiwango kikubwa ni waongo, wanafiki, wasaliti, hawaaminiki na wachonganishi. Wanataka wao ndio waonekane wanajua siasa kuliko wengine na la mwisho zaidi wote wawili ni ‘Opportunist’ wanaangalia maslahi yao kwanza.
Unaona ni chama gani makini cha kushirikiana nacho kwa mfano?.Ni lini CHADEMA walishawahi kukaa na kukubaliana kuwa watashirikiana na chama kingine.
Leta hata uthibitisho wa agenda yoyote unaoonesha kuwa CHADEMA waliomba na kupigania kushirikiana na chama kingine.
CHADEMA huwa wakiona mgombea wao anakubalika hawataki kabisa ushirikiano na mtu. Kama unataka ushirikiano ni wewe ndio utatakiwa kuwaunga mkono.
Ni kundi la watu wabinafsi sana.