Ni vigumu sana kuwatofautisha Zitto na Halima Mdee

Ni vigumu sana kuwatofautisha Zitto na Halima Mdee

Hatimaye rangi yake imeonekana wazi.
 
Rais akishakua ndugu katika imani zitto kukosoa anaacha kwanza anageuka kua mtetezi wa ndugu katika imani.
 
Zitto kwa historia yake sikuwahi kumwamini na hatakaa aaminike.
Mdee nae hilo sigara analovuta linamfanya kuwa mwehu na kukosa staha!
 
Kwa Halima unaweza kumwelewa kwani ni mwanamke ni mama yetu - yawezekana kuna mambo yanamsonga songa, anaweza kulia akapiga magoti akatubu yakaisha - ILA kwa Zitto aisee pale ni full draft - aka kekundu na keupe kwenye kekundu utaliaaa bila kupigwa 🙂🙂🙂🙂🙂
 
Wakati wa uchaguzi mkuu 2020 aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Kawe kupitia Chadema Halima Mdee aliutangazia umma kuwa amekamata mabegi yenye kura feki akasema hatotambua matokeo yake leo kaungana na waliomuibia kura.

Jana kwenye uchaguzi mdogo wa majimbo ya Muhambwe na Buhigwe.

Asubuhi: Zitto Kabwe, tumetekwa na watu wenye mapanga maisha yetu yako hatarini, kuna magari matatu yamejaza maboksi yenye kura feki.

Jioni: Zitto, naipongeza CCM kwa ushindi wa halali kabisa Tume ya Uchaguzi imefanyakazi yake kwa weledi.

Binafsi nashindwa kuwatofautisha wanasiasa hawa wawili ndumilakuwili ukiwaacha (Mrema, Cheyo na Lipumba) matendo yao yanafanana kwa kiwango kikubwa ni waongo, wanafiki, wasaliti, hawaaminiki na wachonganishi. Wanataka wao ndio waonekane wanajua siasa kuliko wengine na la mwisho zaidi wote wawili ni ‘Opportunist’ wanaangalia maslahi yao kwanza.
Ni sawa kurusha LAWAMA Kwa WASALITI, Bt msisahau KULAANI UGONJWA mbaya unaoitwa CCM. Ndo Iko nyuma ya kila k2
 
Ni lini CHADEMA walishawahi kukaa na kukubaliana kuwa watashirikiana na chama kingine.

Leta hata uthibitisho wa agenda yoyote unaoonesha kuwa CHADEMA waliomba na kupigania kushirikiana na chama kingine.

CHADEMA huwa wakiona mgombea wao anakubalika hawataki kabisa ushirikiano na mtu. Kama unataka ushirikiano ni wewe ndio utatakiwa kuwaunga mkono.

Ni kundi la watu wabinafsi sana.
Unaona ni chama gani makini cha kushirikiana nacho kwa mfano?.
ACT TLP CUF DP kina Dovutwa Rungwe au nani mjomba?.
 
Back
Top Bottom