Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gharama ya 2000 ni kwa kusubiri ndani ya wiki mbili minimum lakini ukijiongeza kesho yake tu unapata mzigo chap.Nenda wizara ya mambo ya ndani?
Nenda na kitambulisho chako
Nenda na document inayoonesha wewe kuhitaji hiyo certificate of clearance ..basi
Gharama yake kulipia Bank ni 2000 sijui kama sahv imeongezeka
Ova
Vituo vikubwa mikoani kwa dar au Dom nenda wizara Mambo ya ndaniKituo chochote cha polisi?
Boss kitambulisho chochote au na document naipata wapiNenda wizara ya mambo ya ndani?
Nenda na kitambulisho chako
Nenda na document inayoonesha wewe kuhitaji hiyo certificate of clearance ..basi
Gharama yake kulipia Bank ni 2000 sijui kama sahv imeongezeka
Ova
Kupigia vizinga vya vocha na kubeti.Faida zake zinatumiwaje hizo hati
Kuna ajira Ingine ukiomba wanahitaji doc hiyoFaida zake zinatumiwaje hizo hati
Passport,nida,leseni ya udereva jaribu kati ya hizo ila nida uhakika zaidiBoss kitambulisho chochote au na document naipata wapi
Kanisani au MsikitiniHabari za usiku ndugu zangu.
Kilicho nileta hapa ni kujua jinsi gani naweza pata hati ya tabia njema.Mahali inapopatikana,vitu ambavyo natakiwa niwe navyo na gharama.
Uhamiaji unapeleka original copy au certified copy?Kuna ajira Ingine ukiomba wanahitaji doc hiyo
Kuna nchi zingine ili uende wana hitaji pia docmnt hiyo
Ova
Wanatoaga doc mbili zote originalUhamiaji unapeleka original copy au certified copy?
Mkuu ni kweli.Yaani sielewi huu uzi uko serious au watu wanafanya jokes!
Hiyo utaipata Makao makuu ya Polisi katika Mkoa husika.Habari za usiku ndugu zangu.
Kilicho nileta hapa ni kujua jinsi gani naweza pata hati ya tabia njema.Mahali inapopatikana,vitu ambavyo natakiwa niwe navyo na gharama.
Wanatoaga doc mbili zote originalUhamiaji unapeleka original copy au certified copy?
Duh imeongezeka kdg sahv kumbeHiyo utaipata Makao makuu ya Polisi katika Mkoa husika.
Siyo kwenye vituo vya polisi.
Utahitajika kuwa na kitambulisho chako (preferably NIDA) na barua kutoka taasisi inayoihitaji.
Gharama ni Tsh 5,000.
Sawa mkuuWanatoaga doc mbili zote original
Mm najua kwa ubalozini unapeleka original
Duh imeongezeka kdg sahv kumbe
Ova