Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 8,221
- 22,496
Asante sana mkuu kwa maelekezo yako mazuri sikuwa najua kabisa hiki kitu.Mkuu ni kweli.
Infact, siyo rekodi ya Tabia njema japo wengine wanaiita hivyo. Bali ni criminal record (rekodi ya uhalifu) .
Taasisi zingine zinahitaji kujua kama hujawahi kukutwa na kosa lolote. Achana na kushutumiwa, bali ile umehukukiwa kabisa.
Rekodi ile huitumia kujua mienendo yako. Kisha wanakuajiri.
It is a serious thing.