Kuwa chooni nafanya yangu huku nakulaJe ni vitu gani ambavyo huwezi kufanya kwa wakati mmoja
Mimi binafsi siwezi kula huku nachat, kusoma wakat na angalia tv
je wewe ni vipi ambavyo huwezi kufanya kwa wakati mmoja
twende sawa......
Whaaaaaaaaat!!!u cant be serious jombaa.najaribu kuvuta picha loh!!!hongeraha ha ha ha... Me hilo naweza
Kwa nini Mkuu.
Imebidi nicheke tu mkuu.Kukimbia huku nimesimama.
Ilinisisimu kuliko kawaida aiseeh.baadae nikawasimulia rafiki zangu hivi wakaanza kulia kana kwamba ni wao.Kwa nini Mkuu.
Dada Yangu ni Mama Yangu?
Ienzi hiyo Siku. Ni siku muhimu sana kwa akina mama wenye utu wa umama.
Ndiyo. Alikua mdogo sana. Miaka 17 ana watoto wawili.Ilinisisimu kuliko kawaida aiseeh.baadae nikawasimulia rafiki zangu hivi wakaanza kulia kana kwamba ni wao.
If I'm not mistaken dada ako alikuwa na 17yrz si ndio
Ooohoooo.aiseh.Mungu ampe maisha marefu popote alipo.Ndiyo. Alikua mdogo sana. Miaka 17 ana watoto wawili.