Ni vitu gani ambavyo huezi kufanya kwa wakati mmoja..

Ooohoooo.aiseh.Mungu ampe maisha marefu popote alipo.
Sitakuja isahau hiyo story na miaka ya dada ako aiseeh.
hata mimi nimeikumbuka hiyo stori aisee so sad
 
Ooohoooo.aiseh.Mungu ampe maisha marefu popote alipo.
Sitakuja isahau hiyo story na miaka ya dada ako aiseeh.
Siyo Dada, ni mama yangu huyo. Alianza kuwa mama kwangu kabla hajawa dada.... Hakika Mungu na amuongezee dhawabu nyingi hapa duniani.

Hakuna kama yeye.
 
hata mimi nimeikumbuka hiyo stori aisee so sad
Mi nililia ujue.hakyani tena nilizoea kusoma kwenye magazeti nikijua labda ni story tu.
Nampenda sana mama ake Compact (dada)japo simjui na sijui kama nitamjua ila moyo wake si wakawaida kabisa
 
Mi nililia ujue.hakyani tena nilizoea kusoma kwenye magazeti nikijua labda ni story tu.
Nampenda sana mama ake Compact (dada)japo simjui na sijui kama nitamjua ila moyo wake si wakawaida kabisa
Kuna story za kusadikika. Lakini kuna zenye uhalisia pia ndani yake......

Najisikia fahari sana kumuita mama ingali siyo.
 
Kuna story za kusadikika. Lakini kuna zenye uhalisia pia ndani yake......

Najisikia fahari sana kumuita mama ingali siyo.
Compact,,fanya kile ambacho moyo wako ukikifanya unakifurahia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…