Ni vitu gani ambavyo huvipi kipaumbele zaidi unapozidi kuzeeka?

Ni vitu gani ambavyo huvipi kipaumbele zaidi unapozidi kuzeeka?

daxy Jr

Member
Joined
Apr 15, 2020
Posts
88
Reaction score
307
Top 2 zangu ni:

(1) SEX - Hii bado ina matter ila kidogo sana sio kama zamani nadhani ni kwasababu ya ubusy na kufocus zaidi kwenye majukumu ya kutafuta kipato. Kama unavoelewa too much sex huwa ina madhara hasa kwetu wanaume coz ina-drain nguvu ya mwili na akili hivyo najaribu pia kuepuka sana hadi pale ugwadu unapozidi😂😂

(2) UOGA - Zamani nilikua naogopa almost kila kitu na hata nisipokua naogopa nilikua naogopa kwanini siogopi nikihisi kuwa kuna kitu sijafanya😂 Kuogopa kuhusu past yangu au future yangu kulinifanya kutokua na furaha muda huo! Niligundua kuwa kile nilichokua nikikiogopa kiliishia kutokea na kuna vingi sikuweza kuvidhibiti au kuvibadilisha baada ya kutokea! So, nikaacha kuogopa na matokeo yake furaha imekua nyingi zaidi na matatizo kidogo mno!
 
Mizagamuo napoteza kabisa interest yaani acha tu, napiga mizagamuo kwa kudokoa tu
 
Top 2 zangu ni:

(1) SEX - Hii bado ina matter ila kidogo sana sio kama zamani nadhani ni kwasababu ya ubusy na kufocus zaidi kwenye majukumu ya kutafuta kipato. Kama unavoelewa too much sex huwa ina madhara hasa kwetu wanaume coz ina-drain nguvu ya mwili na akili hivyo najaribu pia kuepuka sana hadi pale ugwadu unapozidi😂😂

(2) UOGA - Zamani nilikua naogopa almost kila kitu na hata nisipokua naogopa nilikua naogopa kwanini siogopi nikihisi kuwa kuna kitu sijafanya😂 Kuogopa kuhusu past yangu au future yangu kulinifanya kutokua na furaha muda huo! Niligundua kuwa kile nilichokua nikikiogopa kiliishia kutokea na kuna vingi sikuweza kuvidhibiti au kuvibadilisha baada ya kutokea! So, nikaacha kuogopa na matokeo yake furaha imekua nyingi zaidi na matatizo kidogo mno!
Nikizeeka ntaacha kubet
 
Back
Top Bottom