Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
JF ni maktaba ya Taifa, ni vizuri tukawajuwa maadui wa Taifa letu waliopo TLS walioshiriki kukata jina la Mwabukusi kugombea Urais wa TLS kabla Mwabukusi kutumia mahakama kupata haki yake ili watambulike kama ni Enemy of State.
Watajwe hapa kamati nzima kwa majina ili waone aibu yao na hawapaswi kuaminiwa popote.
Watajwe hapa kamati nzima kwa majina ili waone aibu yao na hawapaswi kuaminiwa popote.