Ni vizuri kuweka rekodi sawa. Je, Simba mko vizuri kupambana na Yanga hii tarehe 8? Je, mnacho kikosi bora?

Ni vizuri kuweka rekodi sawa. Je, Simba mko vizuri kupambana na Yanga hii tarehe 8? Je, mnacho kikosi bora?

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Ni vizuri tukaanza kuwekana sawa maana maneno na majigambo ya wenzetu Kono la nyani yamekuwa mengi mtaani wakitambia usajili wao kuwa ni hatari tupu sasa ni Bora tuliweke hili vizuri na wazi zisije zikatafutwa sababu nyingine za kuwatoa watu mbuzi wa kafara.

Mangungu asije akaanza kuandamwa Tena wakati yakitokea yatayotokea, Mashabiki na wanachama wa Simba waseme wenyewe kama timu yao Iko vizuri kuhimili mziki wa gamond, Maana zile SANDA zao zimeongeza jambo kwenye mechi ijayo ni dalili za kifo kibaya sana.
 
Ni vizuri tukaanza kuwekana sawa maana maneno na majigambo ya wenzetu Kono la nyani yamekuwa mengi mtaani wakitambia usajili wao kuwa ni hatari tupu Sasa ni Bora tuliweke hili vizuri na wazi zisije zikatafutwa sababu nyingine za kuwatoa watu mbuzi wa kafara!

Mangungu asije akaanza kuandamwa Tena wakati yakitokea yatayotokea, Mashabiki na wanachama wa Simba waseme wenyewe Kama timu yao Iko vizuri kuhimili mziki wa gamond, Maana zile SANDA zao zimeongeza jambo kwenye mechi ijayo ni dalili za kifo kibaya sana!
Comments reserved
 
Simba sasa imeimarika vipengele vyote kuanzia safu ya ulinzi utamkuta ukuta wa yeriko na wenzake , kiungo ndo usizungumze wananyumbulika mno hapa unamkuta babalao Ngoma, wing utamkuta Mutale, saafu ya umaliziaji yupo king Mukwaka. Mbona Yongq atapotea.
 
Nikiwa kama shabiki wa Mpira, nakwambia Simba Wala haiitaji kikosi Bora ili kutufunga,inahitaji mpango mzuri na wachezaji kujitoa tu,.ndio kandanda ilivyo.

Unaikumbuka Yanga ya Zahera??kipa Ben kakolanya,Simba imeshona wakli tupu,sisi tia maji tia maji,mechi ikaisha 0-0,

Mechi ya marudiano kipa kabwili,wao wameshona balaa,sisi hatuna wachezaji wa maana,tukafungwa goal 1 kwa kosa la kizembe la kipa na beki jaffary,next game tukatoka 2-2 balama na Banka wameturudisha,next game wakafa Moja bila goli kapiga Morrison,kumbuka hapo sisi mechi zote underdog,miaka miwili ,misimu mitatu hawajatufunga,

So Mpira sio hivyo Chief.
 
Ila Kwenye Jezi Safari hii kwa Ile Mitenge mbunifu Kazingua....!

Sijui hiyo Siku ni Kitenge Kipi kitafaa...!

Au ile yenye rangi Black, Lkn ina Nyeupe ndo itafaa....?
Asitufanyie hivyo huyu mbunifu awekewe Kipengele kuwa akishabuni awashirikishe 'wenye timu yao' Kina Mzee Magoma na Mwaipopo..!
 
Nikiwa kama shabiki wa Mpira, nakwambia Simba Wala haiitaji kikosi Bora ili kutufunga,inahitaji mpango mzuri na wachezaji kujitoa tu,.ndio kandanda ilivyo..

Unaikumbuka Yanga ya Zahera??kipa Ben kakolanya,Simba imeshona wakli tupu,sisi tia maji tia maji,mechi ikaisha 0-0,

Mechi ya marudiano kipa kabwili,wao wameshona balaa,sisi hatuna wachezaji wa maana,tukafungwa goal 1 kwa kosa la kizembe la kipa na beki jaffary,next game tukatoka 2-2 balama na Banka wameturudisha,next game wakafa Moja bila goli kapiga Morrison,kumbuka hapo sisi mechi zote underdog,miaka miwili ,misimu mitatu hawajatufunga,

So Mpira sio hivyo Chief...
Umeenda mbali sana, juzi tu kocha akiwa Nabi na Yanga ipo kwenye form vibaya mno ikalala goli 2:0
Mechi ya Simba na Yanga sio ya matokeo mfukoni
 
Umeenda mbali sana, juzi tu kocha akiwa Nabi na Yanga ipo kwenye form vibaya mno ikalala goli 2:0
Mechi ya Simba na Yanga sio ya matokeo mfukoni
Msikariri ujinga, Maisha ya kukariri yamewaferisha wengi, na mazoea yamewaferisha wengi yetu macho!
 
Ni vizuri tukaanza kuwekana sawa maana maneno na majigambo ya wenzetu Kono la nyani yamekuwa mengi mtaani wakitambia usajili wao kuwa ni hatari tupu sasa ni Bora tuliweke hili vizuri na wazi zisije zikatafutwa sababu nyingine za kuwatoa watu mbuzi wa kafara.

Mangungu asije akaanza kuandamwa Tena wakati yakitokea yatayotokea, Mashabiki na wanachama wa Simba waseme wenyewe kama timu yao Iko vizuri kuhimili mziki wa gamond, Maana zile SANDA zao zimeongeza jambo kwenye mechi ijayo ni dalili za kifo kibaya sana.
Yanga wana kikosi bora cha kwanza. Kile cha pili hamna kitu, kama uliona mechi ya Yanga vs Galax utagundua jinsi walivyoshambuliwa. Simba bado haijaonekana hadharani, tunaisoma tu mitandaoni. Labda baada ya matamasha yao ndo mtu anaweza kutambia kikosi. Kikosi cha Yanga nguvu iliyoongezeka ni ya Dube tu badala ya Guede, na ya Abuya badala ya Mudathir labda. Wengine ni wale wale walioifunga Simba 2-1 mechi ya mwisho kukutana hivi karibuni
 
Msikariri ujinga, Maisha ya kukariri yamewaferisha wengi, na mazoea yamewaferisha wengi yetu macho!
Watuambie mapema Yale wanayo ita Maduka Bado yapo au yameondoka, Vipi Mangungu mna mwelewa au msaliti
Maana izo zilikua sehemu zenu za kujifichia.
Kuhusu Simba kufungwa haitakua ajabu ata Wana Simba hakuna atakaye shangaa.

Mambo ya kusema Derby haitabiriki ni kweli ila mjipange vizuri, Mki ingia na habari za Derby haitabiriki na Mkawakuta wenzenu wako vizuri, Goli nane inawezekana.
 
Yanga wana kikosi bora cha kwanza. Kile cha pili hamna kitu, kama uliona mechi ya Yanga vs Galax utagundua jinsi walivyoshambuliwa. Simba bado haijaonekana hadharani, tunaisoma tu mitandaoni. Labda baada ya matamasha yao ndo mtu anaweza kutambia kikosi. Kikosi cha Yanga nguvu iliyoongezeka ni ya Dube tu badala ya Guede, na ya Abuya badala ya Mudathir labda. Wengine ni wale wale walioifunga Simba 2-1 mechi ya mwisho kukutana hivi karibuni
Mechi ya Galaxy ile sio kikosi cha kwanza na cha pili bali kocha alipanga kikosi cha wazawa na cha wageni. Ingekuwa lengo ni kupanga kikosi cha kwanza na cha pili ungeona kocha akiwachanganya wachezazi. Mfano tu, dakika 45 angepanga Mudathir na Aucho na kipindi cha pili nafasi zao zingechukuliwa na Andambwile na Abuya hivyo hivyo kwa nafasi zinginezo.
 
Mimi ni Yanga na huu ni mpira wa miguu lolote linaweza kutokea. Nyie mnaoingia na matokeo mfukoni ndio huwa mnazimia uwanjani.
 
Kuna jamaa aliniambia Yanga ina wazee Mimi nikamwambia hiyo tarehe 8 hao wazee wanaenda kuwagawia pensheni Vijana wa ukoloni!
 
Back
Top Bottom