<br />Huko ni sawa na kupika mawe!!!
U r right,nilishawahi kusoma nao pale UD ni wasongo ile mbaya na huwa wanafanya vizuri tu.<br />
<br />
Believe it or not hao mademu walioingia chuo kupitia pre entry wanakuwa na uchungu na kitabu balaa hata wale wenye div 1 na div 2 hawaoni ndani coz wanajua bahati haiji mara mbili wakishindwa hapo tena wakalale makwao, div 3 zinachukuliwa ila rarely,div 4 na div 0 sijawahi kusikia
<br />U r right,nilishawahi kusoma nao pale UD ni wasongo ile mbaya na huwa wanafanya vizuri tu.
ebu tafakari upya, unataka kusema div 0 siyo failure?Hiyo kauli ya kuita waliopata div 4 na 0 failures si busara wakuu coz wengine wapo humu humu ndani,ila suala la kufeli paper si kwamba mtu hana akili mimi nakataa ila kuna factor nyingine, ila as i said before div 3 zipo vyuoni ila div 4 na 0 wanareseat ili waje kupata chance za chuo katika siku za usoni
unaongelea maisha bora? Au ndiyo nyie mnaoamini "kudesa+GPA=maisha bora?Punguzeni hasira basi, naomba pia tukumbuke kuwa kila mtu ana haki ya kupata elimu bora. Hivyo, acha hivi vyuo vichukue watu wote wenye pass, kwani havikuwafelisha vyenyewe, kazi yake ni kuwaelimisha na wengi mwishowe hufanya vizuri na kuwa na maisha bora. Angalizo, tuache ushabiki, hebu tujadili mambo yatakayoinua elimu nchini na kumkomboa mtanzania wa kawaida.
kwanza aliyekwambia mtu aliyepata division 3 amefeli ni nani? you are sick and pathetic bin pitiful!!!!<br /> <br /> you are suffering from grandiosity , please see a nearest psychiatrist for further investigation!!<br /> <br /> mtu aliyepata division 3 anaweza na anastahili kuingia university, kama ilivyo aliyepata divisheni 3 ya poit 25 anavyokuwa na haki ya kwenda form 5 so long as kwenye combination yake awe na walau c 3, hii inanikumbusha attitude ya wanafunzi wengi tuliopitia special scholls i.e mzumbe,kibaha na ilboru, huwa tunafikiri hakuna watu wengine kama sisi na hata tukifika chuo kikuu sisi ndo tutatoka the best students lakini hali haikuwa hivyo na wengi tu waliokuwa wamepata daraja la 2 chuoni kwetu walikuwa wanafanya vizuri wakatoka na hons wakati wenzetu tuliotoka nao special school wakiwa na division 1 walikuwa wanahangaika na supp kila semester<br /> sisi wakati tunaingia university tuliambiwa wasomi tanzania tuliofika chuo kikuu by then tulikuwa 0.05% ya population
<br />
<br />
Hiyo kauli ya kuita waliopata div 4 na 0 failures si busara wakuu coz wengine wapo humu humu ndani,ila suala la kufeli paper si kwamba mtu hana akili mimi nakataa ila kuna factor nyingine, ila as i said before div 3 zipo vyuoni ila div 4 na 0 wanareseat ili waje kupata chance za chuo katika siku za usoni
Hii thread mmeirudisha tena?
Kwa hakika 0 ni failures na mara nyingi hukata tamaa ya kujiendeleza,ila 4 wapiganaji hufanikiwa.<br />
<br />
Hiyo kauli ya kuita waliopata div 4 na 0 failures si busara wakuu coz wengine wapo humu humu ndani,ila suala la kufeli paper si kwamba mtu hana akili mimi nakataa ila kuna factor nyingine, ila as i said before div 3 zipo vyuoni ila div 4 na 0 wanareseat ili waje kupata chance za chuo katika siku za usoni
kwanza aliyekwambia mtu aliyepata division 3 amefeli ni nani? you are sick and pathetic bin pitiful!!!!
you are suffering from grandiosity , please see a nearest psychiatrist for further investigation!!
mtu aliyepata division 3 anaweza na anastahili kuingia university, kama ilivyo aliyepata divisheni 3 ya poit 25 anavyokuwa na haki ya kwenda form 5 so long as kwenye combination yake awe na walau c 3, hii inanikumbusha attitude ya wanafunzi wengi tuliopitia special scholls i.e mzumbe,kibaha na ilboru, huwa tunafikiri hakuna watu wengine kama sisi na hata tukifika chuo kikuu sisi ndo tutatoka the best students lakini hali haikuwa hivyo na wengi tu waliokuwa wamepata daraja la 2 chuoni kwetu walikuwa wanafanya vizuri wakatoka na hons wakati wenzetu tuliotoka nao special school wakiwa na division 1 walikuwa wanahangaika na supp kila semester
sisi wakati tunaingia university tuliambiwa wasomi tanzania tuliofika chuo kikuu by then tulikuwa 0.05% ya population yote, na sisi tulikuwa tukijiona ndio the brightest guys in the country lakini ukweli sio huo, wapo watu wengi waliopata divishen 3 na wakaweza kufanya vizuri sana university
ingelikuwa condition ziko strict then serikali isingeanzisha TCU na wala leo hii kusingekuwa na tumaini university, kcmc university, saut, st joseph college of engineering and the like.
ondoa ukungu uliokutawala machoni mwaka kaka, kupata wani a-level sio kutoka na first class chuo kikuu,
Nina ushahidi wa rafiki aliyeingia na 3 ya 16 kupitia pre entry ,mwisho wa course ana 3.8 akiwa miongoni mwa wanafunzi wachache waliofanya vizuri,Wakati wa masomo alikuwa anazungukwa na group kubwa la waliofaulu vizuri form six,
Nina ushahidi wa rafiki aliyeingia na 3 ya 16 kupitia pre entry ,mwisho wa course ana 3.8 akiwa miongoni mwa wanafunzi wachache waliofanya vizuri,Wakati wa masomo alikuwa anazungukwa na group kubwa la waliofaulu vizuri form six,
Hata wewe kihiyo tu! is that AmE (Eng) or Br(eng)? right click utapata namna sahihi ya kuandika neno lenye maandishi mekundu kwa kiingereza. yatolewayo ni neno moja halipaswi kutenganishwa hatuna maneno mawili. FAILURE.<br />
<br />
mjuze basi wewe. Hilo nalo ni swali la kuuliza watu wazima, hilo swali la kitoto tipically ndo maan unaona hata aina ya majibu yato lewayo.