Inawezekana akawa Yohana Alcohol Mapadlock Junior
Kinachosikitisha huyu mtoto atakuwa na baba mlezi na baba mzaziInawezekana akawa Yohana Alcohol Mapadlock Junior
"katika hospitali ya familia".
Mtoto ameshapatiwa passport yake.
Mkuu sisi tuna amani ya woga. Hapo Kenya tu ma lawyer wa NASA wasingemuacha Uhuru salama.Haya mambo yanayoongelewa kama ni kweli, kwa wenzetu mzee angeondoka kwenye Kigoda kwa mijeledi, lakini sie kwetu poa tu maisha yanaendelea.
Wazungu wana haki ya kutushangaa kila uchao.
Hivi rafiki una uhakika na DNA ya huyo dogo?????Mkuu sisi tuna amani ya woga. Hapo Kenya tu ma lawyer wa NASA wasingemuacha Uhuru salama.
Hahaha mungu anakuona ujue!Yule mtoto amaeshazaliwa ni wa kiume mwenye afya njema. Amezaliwa tarehe 10/12/2017 katika hospitali ya familia.