Ni wa kiume (it's a boy)

Siku bwana yule akijinyonga akufwe nyinyi ndio itakuwa sababu maana mnajitahidi sana ku boost hasira zake
Bwana yule hawezi kujinyonga na kumwacha mtoto Malaika pale amefika Kigoma
 
Huu uzi huuu! Anyway km ni kweli hongera kwa mama waziri wa madini (km sijakosea-kairuki) na pongezi kwa rais wa nchi Pombe Joseph magufuli! Ila ATUBU kwa kuzaa na mke wa wanaume mwenzie!

Sijaona umuhimu sana wakuleta uzi huu kwa mafumbo maana km aliyeleta anauhakika kwanini kuficha majina?
 
Sijaelewa Mada Inamzunguzia Nani , Ila Naomba Kueleweshwa Heading Ya Mtoa Mada Ilipaswa Kuandikwa It's A Boy Kwa Maana Ni Wa Kiume Au Alipaswa Kuandika (Is He) naomben ufafanuz wataalamu wa lugha
 
Sijaelewa Mada Inamzunguzia Nani , Ila Naomba Kueleweshwa Heading Ya Mtoa Mada Ilipaswa Kuandikwa It's A Boy Kwa Maana Ni Wa Kiume Au Alipaswa Kuandika (Is He) naomben ufafanuz wataalamu wa lugha

Madini yamepata mtoto wa nje makiniki kamuweka siri pale nyumba nyeupe .mzee katupwa kwa machina.



Swissme
 
Huu uzi huu uzi Umejaa uchonganishi na Kuchafuana, Mods ondoa taka taka hii
 
Jamani.Duniani kuna mambo.Aiseeee!!!!
Ila nasikia Katoto Keupeee pee kama Mama yake.(pengine kakikua)
Sasa kwa kuwa kataenda nje tutakaonaje wajamenii
DANUBE
 
Kitanda hakizai haramu, limepigwa goli limeingia buuuuuuh!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…