Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je Jina lilo kwenye emergence passport limefanikiwa kudukuliwa?Mambo yako hadharani hata mkujitahidi kupindisha ukweli
hahaha [emoji23][emoji28][emoji23] watu mna tactics za kufumbua mambo aiseeteh teh teh ndo maana Mr zero Wa dar alikuwa China juz kumuandaa balozi kisaikolojia.
Kitanda hakizai haramu hata yeye (bibie) ni mtoto wa wapare wawili si mpare na mgiriki kumbukaMambo yako hadharani hata mkujitahidi kupindisha ukweli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Inawezekana akawa Yohana Alcohol Mapadlock Junior
We mama unaanza kuiteka akili yangu na kuanza kukuamini!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mengine si ya kuyasema hapaLakini amefanana na Salim Ahmed Salim
Nimecheka sana kwakweli...toto litakuwa lina roho mbaya sijui.Yule mtoto amaeshazaliwa ni wa kiume mwenye afya njema. Amezaliwa tarehe 10/12/2017 katika hospitali ya familia.
Mikocheni Hospital siyo?Yule mtoto amaeshazaliwa ni wa kiume mwenye afya njema. Amezaliwa tarehe 10/12/2017 katika hospitali ya familia.
Mange ni kiboko.Angeshindwa kutaja Hospital ningeona Muongo.But kapatia mulemule na siku.Jamani mkulu ana risk maisha yake kwenda kum wins mtoto mpya na mama yake usiku wa manane. Penzi ni kikohozi kulizuia huwezi.
Kwa usalama wake pale ilikuwa rahisi zaidi na pia kutunza siri. Kuna staff Hawa kufahamu kuwa yuko pale mpaka anaondoka.Mange ni kiboko.Angeshindwa kutaja Hospital ningeona Muongo.But kapatia mulemule na siku.
Ila kilichonishangaza why aende ile hospital? Tena ya wenyewe?
Something is not good here!
Swali hawakuogopa Usalama wake??
Jamani.Duniani kuna mambo.Aiseeee!!!!Kwa usalama wake pale ilikuwa rahisi zaidi na pia kutunza siri. Kuna staff Hawa kufahamu kuwa yuko pale mpaka anaondoka.
Mkuu achana na cheo cha urais, ukitamka tu linatekelezwa.
Hii rangi ndiyo imemchanganya You Know Who mpaka kujihalakishia mke wa mtu.Jamani.Duniani kuna mambo.Aiseeee!!!!
Ila nasikia Katoto Keupeee pee kama Mama yake.(pengine kakikua)
Sasa kwa kuwa kataenda nje tutakaonaje wajamenii
Utakuwa ShakurNae ubini wake utakuwa mapadlock ama alcohol!?