Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Tunapokuja kujadili suala ambalo ni mustakabali wa taifa letu basi tuweke ushabiki kando.
Katiba ya sasa haifa na imempa madaraka makubwa rais wa JMT ndio maana wateule wake na wasaidizi wake wanatumika hovyo kupeleka mateso kwa raia kwa chuki ambazo hazina kichwa wala msingi.
Tupate katiba ambayo rais wa JMT akitekeleza majukumu vibaya kwa chuki na upendeleo basi nae ashitakiwa mara moja
Leo hii mnafurahi juu ya Sabaya lakini mmesahau jana tu.
Katiba ya sasa haifa na imempa madaraka makubwa rais wa JMT ndio maana wateule wake na wasaidizi wake wanatumika hovyo kupeleka mateso kwa raia kwa chuki ambazo hazina kichwa wala msingi.
Tupate katiba ambayo rais wa JMT akitekeleza majukumu vibaya kwa chuki na upendeleo basi nae ashitakiwa mara moja
Leo hii mnafurahi juu ya Sabaya lakini mmesahau jana tu.