Ni wajibu kila mmoja kujiandaa kujiridhisha na sex na si vinginevyo

Ni wajibu kila mmoja kujiandaa kujiridhisha na sex na si vinginevyo

Kichwamoto

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2019
Posts
3,403
Reaction score
4,692
Shoo Shoo Kali ni Kali !

Kwa ufupi tu unapotaka kula njaa ni yako na kushiba ni jambo binafsi na kuridhika na msosi ni jambo binafsi hasa ladha ya ulimi wako, ubora wa meno, test ya chumvi, potion size etc, uwezo wa tumbo, mazoea, na etc.

Hii ni akili kubwa tu karibu kwa misumari, mateke, madekezo, upupu na uzuzu wote.

Tuamke kila mmoja ajiandae kwa jambo lake game is a game for either side win or lose and a draw.

Nani alaumiwie au apongezwe kwa ushindi, kupoteza au droo.

Akili ni nywele kama ilivyo kwa radha na kushiba kila mtu ana yake.

Nawasilisha.

Ccc Zero IQ
Deepond
Mshana Jr
Numbisa
Kasie

*All other beloved JF family members at equal weight on recognition.
 
Quality ya chakula ni muhimu. Chakula kiwe kitamu..otherwise mpishi atalaumiwa.

So pamoja na kujiandaa, ila lazima kila upande uwajibike ipasavyo.
 
Kwa ufupi tu unapotaka kula njaa ni yako na kushiba ni jambo binafsi na kuridhika na msosi ni jambo binafsi hasa ladha ya ulimi wako, ubora wa meno, test ya chumvi, potion size etc, uwezo wa tumbo, mazoea, na etc.[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Quality ya chakula ni muhimu. Chakula kiwe kitamu..otherwise mpishi atalaumiwa.

So pamoja na kujiandaa, ila lazima kila upande uwajibike ipasavyo.
Kuna mantiki usiipite bila kujali au katika utofauti wa mapokeo au tafsiri ya ubora bado ipo katika mtu na mtu tofauti ipo yeye ni yeye na wengine wengine mlaji au mpokeaji kwa tafsiri yake ndio atatoa mtazamo wake kwa hio dhana ya kuridhika haiko moja kuna aina tofauti na vigezo vingi vyenye unaweza wewe au mwingine.
 
Na chakula huwa hakishibi chenyewe ni kuliwa tu Sasa ukiona chakula kinataka kushiba ujue Kuna tatizo
 
Back
Top Bottom