Ni wajinga wachache wanaoamini kuwa Diamond platnumz ananunua tuzo na views za Youtube

Team Wachawi computer technology wamejulia ukubwani waishukuru company ya Tecno na huawei visimu vyao cheap angalau hata washamba wanajua kujamiiana (socialize)
 
huyo omotola wa wapi
 
samahani! hivi hao uliowataja ndio wanamziki gani? wameimba nyimbo gani? nikumbushe kidogo.
Bora wewe umejikita kwenye wanamuziki, kwa wapo wasanii kama psquare, tamer hosny na davido wamempita diamond.
-anaetoa takwimu za followers ndo ananishangaza wakati facebook JF wana followers wengi kuliko diamond.
* pia ukizungumza africa kuna masupastar wa aina nyingi mfano nimemuangalia samuel etoo na drogba wana followers wengi zaidi.
 
Mnatapatapa
 
Lupita anafanyia shughuli zake marekani so kumweka ktk list ya mastaa wanaofanyia kazi zao africa sio sahihi
huyu dada tangu nione makalio yake na matiti sina hamu nae..tazama movie ya TWELVE YEARS OF SLAVE
 
Mnatapatapa

Team Wachawi computer technology wamejulia ukubwani waishukuru company ya Tecno na huawei visimu vyao cheap angalau hata washamba wanajua kujamiiana (socialize)

samahani! hivi hao uliowataja ndio wanamziki gani? wameimba nyimbo gani? nikumbushe kidogo.
TWITTER (baadhi ya wanamuziki followerz)
*wizkid 2,369,972
*davido 2,034,505
*don jazzy 1,804,459
*tiwa savage 1,638,316
*dbanj 1,636,106
*peter okoye 1,169,648
*ice prince 1,011,603
Diamond platnumz 341,155 (laki 3)
 
Bado unaendeleza ngumi za watoto,kwa E.A ni DIAMOND PLATNUMZ NDIO ANAONGOZA hata kama humpendi ndio yeye anayewaburuza kwenye kila kitu. Au kama vipi nitajie kitu kimoja tu,ambacho Alikiba anaongoza kwa TZ ambacho MOND HANA/HAJAKIFANYA ??

Yeye wa kwanza kujulikana kwenye mziki tanzania na n wakwanza kwenda kimataifa kiamba na Robart Kelly [emoji113][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] (Mond mtu mwingne wew ).
 
Yeye wa kwanza kujulikana kwenye mziki tanzania na n wakwanza kwenda kimataifa kiamba na Robart Kelly [emoji113][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] (Mond mtu mwingne wew ).
Tatzo unakurupuka sana kiamba ndo kiswahili gani icho
 
TWITTER (baadhi ya wanamuziki followerz)
*wizkid 2,369,972
*davido 2,034,505
*don jazzy 1,804,459
*tiwa savage 1,638,316
*dbanj 1,636,106
*peter okoye 1,169,648
*ice prince 1,011,603
Diamond platnumz 341,155 (laki 3)
Twitter wabongo wengi hawaiwezi.. Elimu hakuna.. Wao wapo kwenye umbeya instagram
 
Umeongea vyema kabisa.. Mimi pia siamini kama ananunua..

Lakini kuna vitu umeviongea hapo umekosea sana. Ulisomaga hesabu za SETS Form 2??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…