Ni wakati gani hapana ni hapana?

Ni wakati gani hapana ni hapana?

MAMMAMIA,umenikumbusha ishu ya shem wangu alivyokua anamtukana rafiki yangu mmoja hivi but now anadai eti hawezi kuishi bila jamaa!!Wanawake bana!!
 
Last edited by a moderator:
tazama ramani utaona nchi nzuri,
yenye mito na mabonde mengi ya nafaka,
nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri,
huyo dada Lizzy sio dada kweli!
.....brass band itaendelea muda punde......
Bishanga hebu funguka kidogo, kwahiyo unasema Lizzy ni dada lakini siyo dada kweli! how?
 
Last edited by a moderator:
Kama hapa nimekuelewa vyema sana!Yaani wewe ni mmoja wao!Uzoefu bana raha sana!

Tatizo hua siendelezi majadiliano na mtu anaeng'ang'ania kunifahamu ilhali hata kunijua hanijui.
 
JB WISER yani na wewe mwanaune kamili? Haya bana.
Lizzy mbona Mwanaume kamili yupo poa tu? namuhoji Bishanga maana naona wiki anakuandama kweli kweli!! Ukisema haya bana maana yake hata lunch yangu leo haitarika maana Mwanamke kamili kama amekuwa disappointed kimtindo.
 
Last edited by a moderator:
Lizzy mbona Mwanaume kamili yupo poa tu? namuhoji Bishanga maana naona wiki anakuandama kweli kweli!! Ukisema haya bana maana yake hata lunch yangu leo haitarika maana Mwanamke kamili kama amekuwa disappointed kimtindo.
Alright then, nilidhani.mwanaume kamili nae yumo humo. . .huyu Bishanga achana nae ni wivu tu unamsumbua.
 
Last edited by a moderator:
Duh! Kongosho we wa ukweli! Haya ndo maujanja nnayotaka kujifunza mm nisijeonekana hata maujanja nayo ni petty kama Cash zangu

Ukiwa unampa mwanamke kitu, mtizame machoni, huwa hayadanganyi. Macho huwa yana-shine na zile pupils zina-dilate(Wabaolijia msianze risechi risechi, hii ya uswahilini kama ile ya maprof wamechanganyikiwa)

Anaweza jibaraguza lakini macho yameafiki, ni kama anakuambia kuku wako manati ya nini? Ni kama nasema mie wako haraka ya nini? Ni kama anasema niache nikusanye courage zangu kabla sijaweka komitment.
 
Last edited by a moderator:
Ukiwa unampa mwanamke kitu, mtizame machoni, huwa hayadanganyi. Macho huwa yana-shine na zile pupils zina-dilate(Wabaolijia msianze risechi risechi, hii ya uswahilini kama ile ya maprof wamechanganyikiwa)

Anaweza jibaraguza lakini macho yameafiki, ni kama anakuambia kuku wako manati ya nini? Ni kama nasema mie wako haraka ya nini? Ni kama anasema niache nikusanye courage zangu kabla sijaweka komitment.


hii mimi ndo huwa nacheza nayo,macho ya wanawake hata kabla hujamtongoza utamwona tu kuwa huyu wangu na huyu sio wakati umemtoa lunch au dinner mahali,,,kwa ilo cjawah mtongoza mwanamke nkamkosa tokea nimeota kidevu,chezeiya maujuz wewe?iga huone
 
Back
Top Bottom