swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,478
- 3,628
Sijawahi kupata furaha, labda raha za muda mfupi, nadhani furaha ntaipata mbinguni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mpaka akupigie?Kila siku huwa nina furaha, ila furaha yangu huzidi pale nimpendae anaponipigia simu!
Mpaka tuongeeKwa hiyo mpaka akupigie?
Sijawahi kuwa na furaha maishani
Kuna dada humu nikimpata nitakua nafuraha ya kwanza[emoji41]
Kafunga piemuKuna kikwazo gani cha kumpata?
Maisha tu mkuuu.. Nipo jf kupunguza stressKwanini hauna furaha mkuu?
Kafunga piemu
Ukimfuata hapa dk 2 unaona jamaa nae kafika kuingilia mazungumzo[emoji23]..yule jamaa sijui kategesha alarm
Kwa sasa furaha naipata nikiwa na bia 5 mezani..huwa napata furaha kweli kweliHaah pole sana komaa mpaka kieleweke upate furaha.
Boresha mbinu za utongozaji mpaka kieleweke.
Kwa sasa furaha naipata nikiwa na bia 5 mezani..huwa napata furaha kweli kweli
Pole sana. Siku za furaha kwa wengi ni chache zaidi ya siku za karaha..Maisha tu mkuuu.. Nipo jf kupunguza stress
Namuomba Mungu anidumishie furaha yangu nilonayo ,,,kila nikiwa na mtoto wangu wakiume nahisi furaha tuu hasa akiwa kwenye ubora wake!!View attachment 1125108
Mimi sitasahau siku ambayo matokeo ya form 4 yametoka na kuona nimefaulu kwa ile division kubwa,nikawa nikipita mtaani namsalimia kila mtu.
Karibuni
Usikate tamaa ipo ckuMpaka saivi sijawa na furaha kama ulivyoelezea.. Hata kidato cha nne alama nzuri sikupata.... Nahisi nitakuwa na furaha kaburini