Ni wakati Mkwasa kuachia ngazi hana jipya

Ni wakati Mkwasa kuachia ngazi hana jipya

pilau

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
1,595
Reaction score
451
Kwa kweli sina budi kutoa dukuduku langu kuhusiana na mwenendo mzima wa timu yetu ya taifa Taifa Stars .............. binafsi naamini soka sio maneno soka ni vitendo kwa hali inavyoendelea stars inazidi kudorola ..... binafsi sina imani naye na naona kama kuna maswala ya kupeana peana lakini siamini kama ataaweza kuibadilisha soka kwa hali hii anayokwenda nayo...
 
Duuh, so ulitaka kila mechi stars washinde mkuu? Football is two ways, kuna kushinda na kushindwa. Tusiwe tunahukumu tu Bali tuangalie nini kifanyike kuboresha.
 
Bado yupo sana japo kafanya madudu jana dhidi ya Misri.
 
Serikali iondoe mkono wake ktk soka soka lichezwe bongo kama burudani na sio kimashindano kabisaa na fedha hizo ziwekezwe kwenye elimu hasa chakula cha mchana kwa wanafunzi.
 
Back
Top Bottom