Ni wakati muafaka kwa Zitto Kabwe kujiunga na serikali sikivu ya CCM kwa kazi maalumu ya maendeleo ya Watanzania

najaribu kurudia kusoma aya iliyosema ajiunge ccm, na sioni, au una bandiko lako la chuki kichwani?

gentleman,
una mihemko au una makasiriko binafsi pamoja na wenzio baadhi?
Ukweli ni zaidi ya aya unayotaka kuisoma.
 
hiyo dhana na hizo fikra dumavu potofu zinazofanana na ushirikina ndio hasa lengo la uzi huu kuzibadilisha kabisa,

na kwakweli kazi hiyo tumeanza vizuri, na tunaendelea vizuri sana,
na mimi binafsi kama mwanadiplomasia na mwanasiasa muandamizi nimefurahi sana vijana wenye fikra dumavu kutegemea watu na majina yao kuleta na kuchochea mabadiliko ya kisiasa imesaidia sana kupata pa kuanzia kufanyia kazi ya mageuzi ya fikra mgando kuelekea kwenye umoja, maendeleo na kujitegemea...

lazima mawazo na fikra zetu tuzielekeze zaidi juhadili masuala muhimu ya maendeleo, na sio kujadili watu binafsi, majina yao, kazi zao binafsi na pengine vyeo na aina ya siasa zao hiyo haina maana yoyote....

ni muhimu sana kua na fikra mpya na mawazo mbadala ya kujibandua kwenye mkwamo huo unaoshabihiana sana na ushirikina,

hata hivyo,
Zito Kabwe na John Mnyika wanayo kila sababu ya kufanya maamuzi magumu yenye maslahi mapana kwa taifa na historia ya Tanzania itawakumbuka kwa maamuzi yao ya kizalendo kufanya kazi na serikali sikivu ya sana ya CCM, chini ya Dr.Samia Suluhu Hassa kupenzi cha waTanzania wote

Mungu Ibariki Tanzania
 
Ukweli ni zaidi ya aya unayotaka kuisoma.
umechoka sana asubuhi na mapema gentleman...

ulikua lindoni au ndio uko lindoni now? its like you are not okey today
 
masuala ya kuwaza au kufikiria masuala ya vyama kwenye jambo muhimu kama maendeleo ya Taifa ni udumavu wa fikra, hujuma na sio uzalendo kwa taifa
🀣🀣🀣
Kwani Chama dola ni kipi? Acha unafiki na wewe. Wewe ndio pimbi na mdumavu wa fikra. Maendeleo ya nchi na Usalama wa raia na mali zao upo chini ya Amiri Jeshi na Mwenyekiti wa Chama dola, ambaye ndio anayewachagua hao wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Sasa unapokuwa unatuketea propaganda za kitoto kama hizi unakuwa unatukosea sana. Na kwanini wanaoumizwa, kupotezwa, kuuwawa na kutekwa ni wale wenye itikadi tofauti na Chama dola ?
 
sasa mbona unanifokea na mihemko namna hiyo

ni katika kuliunganisha Taifa tunafanya haya chini ya rais na kupenzi cha waTanzania wote Dr.Samia Suluhu Hassan, hatuyumbi kwenye hilo gentleman
 
Oya ume olewa??, Kama bado niko tayari kuwa mumeo. Huenda uka pata Akili.

Maana watu Wana tekwa, afu we waandika pumba. Nyambafu
 
Mbona mwenzenu uyo , kama hujui basi pole.
Zipo taarifa kwamba aliekua msaidizi wa Katibu mkuu Chadema ,kutekwa akiwa kwenye basi la kuelekea Tanga ,na mwili wake kutwa Mochwari Mwananyamala hosp , unasemaje?

1.Sasa utekaji tz na kuuwa ndo imekua desturi ya tz
2. Kwa kua wanaotekwa na kuwawa wengi ni wanachama wa ccm ila sio wa chadema ,vipi watu waanzie vijijini huko kulipiza visasi? na je tukifika apo tz tutakua na taifa?

Leta majibu fasta , uchawa weka pembeni,ongea kama Mtanzania
 
sasa gentleman,
si uandike uzi mahususi wa mamalalamiko yako halafu initag nije kutoa maoni yangu huko?

halafu umeelewa kweli nilichoaandika? au umekurupuka tu
 
sasa mbona unanifokea na mihemko namna hiyo

ni katika kuliunganisha Taifa tunafanya haya chini ya rais na kupenzi cha waTanzania wote Dr.Samia Suluhu Hassan, hatuyumbi kwenye hilo gentleman
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Aisee sina mihemko lakini kiuhalisia hali ni mbaya sana na sijui huyu SSH kama haoni kama anahujumiwa na amekubali kuhujumika, how come unasema hatuyumbi wakati hali halisi inaonekana ? Hujui wewe lakini tunaokutana na haya majanga tunaona. Kwa kifupi huu ni mchezo unafanyika na unadhihirisha SSH kapwaya sana na ushauri wangu apumzike tu. Haki hakuna tunatendewa vibaya sana na hii awamu. Watu wanauwa, watu wanafukuzwa makazi yao ya asili huu ni uongozi wa aina gani ?
 
sasa gentleman,
si uandike uzi mahususi wa mamalalamiko yako halafu initag nije kutoa maoni yangu huko?

halafu umeelewa kweli nilichoaandika? au umekurupuka tu
Ndugu ,sitaki siasa hapa , hii ipo serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…