Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,051
- 12,954
Najua huku kuna wapambe wa karibu na Alikiba, King Kiba.
Najua pia King Kiba ni muumini mzuri tu wa dini yake ya kiislam, bila shaka anafuata mafundisho yake ya kidini vizuri. Ni wakati muafaka sasa ajikite kwenye kuimba nyimbo za kuitukuza imani yake na mungu wake, hii bongo fleva imemkataa. Na sio imemkataa, imefika mwisho.
Jambo lolote linalohitaji nguvu kama kucheza mpira au ngumi na akili kama kutunga nyimbo na kuimba hua lina muda linaisha maana nguvu huisha na akili huchoka kutokana na mabadiliko ya mwili na umri.
Alikiba akili yake ya utunzi wa nyimbo umefika mwisho, sasa ajikite kwenye kutunga nyimbo za kidini hizi za bongo fleva zimekataa. Wakati ni ukuta.
Niliwahi kushauri pia kuhusu Diamond https://www.jamiiforums.com/threads...kuimba-kwenye-bar-grocery-za-mitaani.1562458/
Huu ni ushauri wangu wa bure.
Najua pia King Kiba ni muumini mzuri tu wa dini yake ya kiislam, bila shaka anafuata mafundisho yake ya kidini vizuri. Ni wakati muafaka sasa ajikite kwenye kuimba nyimbo za kuitukuza imani yake na mungu wake, hii bongo fleva imemkataa. Na sio imemkataa, imefika mwisho.
Jambo lolote linalohitaji nguvu kama kucheza mpira au ngumi na akili kama kutunga nyimbo na kuimba hua lina muda linaisha maana nguvu huisha na akili huchoka kutokana na mabadiliko ya mwili na umri.
Alikiba akili yake ya utunzi wa nyimbo umefika mwisho, sasa ajikite kwenye kutunga nyimbo za kidini hizi za bongo fleva zimekataa. Wakati ni ukuta.
Niliwahi kushauri pia kuhusu Diamond https://www.jamiiforums.com/threads...kuimba-kwenye-bar-grocery-za-mitaani.1562458/
Huu ni ushauri wangu wa bure.