Ni wakati muafaka sasa Diamond aanze kuimba kwenye bar grocery za mitaani.

Ni wakati muafaka sasa Diamond aanze kuimba kwenye bar grocery za mitaani.

Msingi wa hoja ulikuwa hoteli za Mbeya kutokuwa na hadhi ya kulala Diamond au kutotakiwa kupiga mziki Kenya?Waza hoja nje ya box acha kung'ang'ania vihoja visivyokuwa na mashiko ya evidence.Tunataka kijana awe anatuwakilisha nje ya nchi,achana na mambo ya hoteli za Mbeya kwani alikokulia ni kwenye nyumba zilizo sawa na sisi wa huku Undambani,Sumbawanga.Hakuna mwenye chuki na nguli wetu huyu bali ni kurekebishana tu.Usiwe/msiwe over-reacted baadhi ya wapendwa wenu wakipewa mawazo mbadala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huu ni mfano wa jamii tuliyonayo Tanzania, ambayo haitaki mawazo mbadala, wao wanataka wasifiwe tuuu, hizi praise team hazitaki kusikia critics au mawazo nje ya mawazo wanayoyataka wao.
 
Ushauri wangu kwa Diamond kua wakati ni ukuta na hakuna anaeweza kupambana nao.

Hakuna asiejua kua kwa miaka 8 iliyopita Diamond ametawala kwenye soko la muziki wa kizazi kipya hapa Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla, hakuna.

Baada ya Diamond kupanda chati sana hapa nchini na nje ya nchi aliacha kuperform kwenye matamasha na kumbi zetu za starehe(ukiacha wasafi festival) kwa sababu kua wanalipa pesa kidogo, kuna kipindi nilisikia kua alisema Mbeya hakuna hoteli ya hadhi yake kulala. Hivyo Diamond akatusahau sisi mashabiki wake wa nyumbani tuliompandisha chati kwa vijipesa vyetu, alipofika juu akasema hvyo vijipesa havitoshi yeye kutupatia burudani.

Sasa wakati unakimbia sana, ufalme unaanza kjmomonyoka na soon utaanguka, soko kubwa la mziki wa Diamond ilikua Kenya(mziki wa Diamond unapendwa sana Kenya ila Alikiba anapemdwa Kenya), ndugu zetu wakenya wameanza figisu na asishangae akifika kule akakutana na kesi ya kukwepa kodi na kutakatisha pesa ikammaliza.

Ni wakati muafaka sasa Diamond kurudi kutuburudisha sisi mashabiki wake kwenye bar zetu kama anavyofanya mwenzake Alikiba, nyumbani ni nyumbani.

Diamond, swallow your pride, stand up like a man na uje kwenye vibanda vyetu mashabiki wako utupatie burudani.
"Wivu wa kike" mwenzako sasa hivi yuko Paris ana-shoot video ya wimbo wake mpya ambao ni moto wa kuotea mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri wangu kwa Diamond kua wakati ni ukuta na hakuna anaeweza kupambana nao.

Hakuna asiejua kua kwa miaka 8 iliyopita Diamond ametawala kwenye soko la muziki wa kizazi kipya hapa Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla, hakuna.

Baada ya Diamond kupanda chati sana hapa nchini na nje ya nchi aliacha kuperform kwenye matamasha na kumbi zetu za starehe(ukiacha wasafi festival) kwa sababu kua wanalipa pesa kidogo, kuna kipindi nilisikia kua alisema Mbeya hakuna hoteli ya hadhi yake kulala. Hivyo Diamond akatusahau sisi mashabiki wake wa nyumbani tuliompandisha chati kwa vijipesa vyetu, alipofika juu akasema hvyo vijipesa havitoshi yeye kutupatia burudani.

Sasa wakati unakimbia sana, ufalme unaanza kjmomonyoka na soon utaanguka, soko kubwa la mziki wa Diamond ilikua Kenya(mziki wa Diamond unapendwa sana Kenya ila Alikiba anapemdwa Kenya), ndugu zetu wakenya wameanza figisu na asishangae akifika kule akakutana na kesi ya kukwepa kodi na kutakatisha pesa ikammaliza.

Ni wakati muafaka sasa Diamond kurudi kutuburudisha sisi mashabiki wake kwenye bar zetu kama anavyofanya mwenzake Alikiba, nyumbani ni nyumbani.

Diamond, swallow your pride, stand up like a man na uje kwenye vibanda vyetu mashabiki wako utupatie burudani.

Hakyamungu wewe utakuwa mchawi. Na kwa vyovyote wewe ni masikini, kama si wa mali ni kifikra

Waache vijana wetu Kiba na Mondi, wameweza kutuwakilisha.Mijitu yenye wivu na uchawi mnawaharibia.

Mijicho yako kama kiongozi fulani hivi wa kisiasa.
 
Hakyamungu wewe utakuwa mchawi. Na kwa vyovyote wewe ni masikini, kama si wa mali ni kifikra

Waache vijana wetu Kiba na Mondi, wameweza kutuwakilisha.Mijitu yenye wivu na uchawi mnawaharibia.

Mijicho yako kama kiongozi fulani hivi wa kisiasa.
Nyie mnaochezewa makalio na hao niliowataja nilitegemea mbishane na hoja niliyoiweka, jenga hoja sister.
 
Nyie mnaochezewa makalio na hao niliowataja nilitegemea mbishane na hoja niliyoiweka, jenga hoja sister.

Wewe dada ni mchawi sana.Nijenge hoja kwa hoja gani ulioijenga?Hoja hujibiwa kwa hoja.Sasa hicho umeandika ukiwa uchi ukikalia tako moja ujibiwe kwa hoja gani?Wewe kweli ni moron kama si siren.
 
Wewe dada ni mchawi sana.Nijenge hoja kwa hoja gani ulioijenga?Hoja hujibiwa kwa hoja.Sasa hicho umeandika ukiwa uchi ukikalia tako moja ujibiwe kwa hoja gani?Wewe kweli ni moron kama si siren.
Achana na waume za watu sister, tafta mume wako peke yako. Wewe sio wa kudandia wanaume za watu. Mimi nina mke, akijua unataka nikufanye mke wa pili atakuua. Achana na mimi dada. Mbona wanaume wapo kibao tu hawajaoa kina Piere Liquid, kwa nini utung'ang'anie waume za watu?
 
Achana na waume za watu sister, tafta mume wako peke yako. Wewe sio wa kudandia wanaume za watu. Mimi nina mke, akijua unataka nikufanye mke wa pili atakuua. Achana na mimi dada. Mbona wanaume wapo kibao tu hawajaoa kina Piere Liquid, kwa nini utung'ang'anie waume za watu?

Wewe acha uongo, ungekuwa mume usingekuja na umbea kuongelea sisi wanaume.Wenzio rijali tulinyamaza kimyaaa.Kipele cha kishoga kimekuwasha ukaja na umbea.

Ooh, Diamond,oooh,Kiba. Hicho ni kipele, wakimaliza kukupakua,njoo mimi namaliza.

Kashoga kadogo wewe.Mume uwe wewe kuja kuzungumzia wanaume wenzio.Kata kipele hicho
 
Diamond Na Kiba hawawezi kushuka kwa ajili ya uteam..ngoma mbovu watu wanasupport..
 
Msingi wa hoja ulikuwa hoteli za Mbeya kutokuwa na hadhi ya kulala Diamond au kutotakiwa kupiga mziki Kenya?Waza hoja nje ya box acha kung'ang'ania vihoja visivyokuwa na mashiko ya evidence.Tunataka kijana awe anatuwakilisha nje ya nchi,achana na mambo ya hoteli za Mbeya kwani alikokulia ni kwenye nyumba zilizo sawa na sisi wa huku Undambani,Sumbawanga.Hakuna mwenye chuki na nguli wetu huyu bali ni kurekebishana tu.Usiwe/msiwe over-reacted baadhi ya wapendwa wenu wakipewa mawazo mbadala.

Sent using Jamii Forums mobile app
umeanza vizuri lkn ulipomalizia nikakutoa akili kbsa sasa Kama hoja ni kwamba kijana atuwakilishe nje ya nchi kwanini mchangiaji mwenzio hapo juu ampe kijana wetu kashfa ambazo hajawai kuzifanya..eti kwamba alisema hawezi kulala hoteli za mbeya..ndio maana na mimi nkatoka nje ya mada nkamuomb atuwekee hiyo link inayomuonesha diamond akisema hayo yote
 
Ushauri wangu kwa Diamond kua wakati ni ukuta na hakuna anaeweza kupambana nao.

Hakuna asiejua kua kwa miaka 8 iliyopita Diamond ametawala kwenye soko la muziki wa kizazi kipya hapa Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla, hakuna.

Baada ya Diamond kupanda chati sana hapa nchini na nje ya nchi aliacha kuperform kwenye matamasha na kumbi zetu za starehe(ukiacha wasafi festival) kwa sababu kua wanalipa pesa kidogo, kuna kipindi nilisikia kua alisema Mbeya hakuna hoteli ya hadhi yake kulala. Hivyo Diamond akatusahau sisi mashabiki wake wa nyumbani tuliompandisha chati kwa vijipesa vyetu, alipofika juu akasema hvyo vijipesa havitoshi yeye kutupatia burudani.

Sasa wakati unakimbia sana, ufalme unaanza kjmomonyoka na soon utaanguka, soko kubwa la mziki wa Diamond ilikua Kenya(mziki wa Diamond unapendwa sana Kenya ila Alikiba anapemdwa Kenya), ndugu zetu wakenya wameanza figisu na asishangae akifika kule akakutana na kesi ya kukwepa kodi na kutakatisha pesa ikammaliza.

Ni wakati muafaka sasa Diamond kurudi kutuburudisha sisi mashabiki wake kwenye bar zetu kama anavyofanya mwenzake Alikiba, nyumbani ni nyumbani.

Diamond, swallow your pride, stand up like a man na uje kwenye vibanda vyetu mashabiki wako utupatie burudani.

Wabongo bwana chuki sjui ndo mitaji mliobaki nayo vichwani???
 
Back
Top Bottom