Tunalaumu sana kuhusiana na matokeo ya kidato cha nne, tunasahau pia na wanafunzi siku hizi wanajiachia sana. Asilimia kubwa ya waliofeli ni kutokana na ujinga wao na uhuru mkubwa walioachiwa tofauti na zamani ambapo kulikuwa na adhabu. Nashauri adhabu ya viboko irudishwe na huu ujinga wa kuandika mashairi ya bongo fleva kwenye mtihani hayatakuwepo...
Tunalaumu sana kuhusiana na matokeo ya kidato cha nne, tunasahau pia na wanafunzi siku hizi wanajiachia sana. Asilimia kubwa ya waliofeli ni kutokana na ujinga wao na uhuru mkubwa walioachiwa tofauti na zamani ambapo kulikuwa na adhabu. Nashauri adhabu ya viboko irudishwe na huu ujinga wa kuandika mashairi ya bongo fleva kwenye mtihani hayatakuwepo...
Tunalaumu sana kuhusiana na matokeo ya kidato cha nne, tunasahau pia na wanafunzi siku hizi wanajiachia sana. Asilimia kubwa ya waliofeli ni kutokana na ujinga wao na uhuru mkubwa walioachiwa tofauti na zamani ambapo kulikuwa na adhabu. Nashauri adhabu ya viboko irudishwe na huu ujinga wa kuandika mashairi ya bongo fleva kwenye mtihani hayatakuwepo...
Nakuunga mkono mkuu watoto wa siku hizi hakuna kitu wameweka mapenzi mbele shule baadae
ndo muda wake acheni vijana waenjoy ujana jemen, ka hvyo vboko vnaxaidia bax ata hao mafxad 2wachape kwa ku2ibia miela ye2 by th way kufeli skul xo kufel maisha...
ndo muda wake acheni vijana waenjoy ujana jemen, ka hvyo vboko vnaxaidia bax ata hao mafxad 2wachape kwa ku2ibia miela ye2 by th way kufeli skul xo kufel maisha...
Sasa wanafunzi wa secondary nao watachapwa? Wazazi wasimame kwenye nafasi zao na kulea watoto wao katika njia inayoipasa!
Sasa wanafunzi wa secondary nao watachapwa? Wazazi wasimame kwenye nafasi zao na kulea watoto wao katika njia inayoipasa!
ndo muda wake acheni vijana waenjoy ujana jemen, ka hvyo vboko vnaxaidia bax ata hao mafxad 2wachape kwa ku2ibia miela ye2 by th way kufeli skul xo kufel maisha...
mda wa masomo
wa masomo
wa kufaidi maisha
unakuja
huswez zaliwa na kutembea lazma uanzie
kutambaa!sa wamekimbilia ya raha
wakavuka ya masomo
next
matatizo
yaani
watajuta na kusaga meno
kwakweli,
Ndio walewale tu huenda na wewe uligonga F,maana hata kuandika hujui,hayo ma x x x ya nini na ndio nini?
Nashangaa imagine mtoto wa kike ameshavunja ungo unamchapa??