CreativityCode
Senior Member
- Aug 8, 2020
- 158
- 653
Sina mengi ila ni wito tu nautoa kwa watumishi wote wa umma kutoa adhabu kali kwa Rais Magufuli kwa kuupigia kura upinzani ili kumkumbusha nguvu mliyonayo kwa jamii.
Maana licha ya mchango mlioutoa (hasa watumishi wa halmashauri) kwenye kumuweka madarakani mwaka 2015, amejifanya kuwasahau kwa miaka yote mitano. Kipindi chote amewafanyia mambo mabaya na ya aibu ili kujipatia umaarufu miongoni mwa jamii.
Udhalilishaji: Rais Magufuli amekuwa akidhalilisha watumishi kwenye mikutano ya wazi mbele ya camera ili apate umaarufu kinyume na kanuni za utumishi wa umma. Je, mtapenda hali hiyo iendelee? UAMUZI NI WENU
Mishahara: Licha ya kwamba kupandishwa mishahara na kulipwa stahiki mbalimbali ni kwa mujibu wa Sheria na kanuni za utumishi wa umma, yeye kwa jeuri, kibri na dharau, amesimamisha vyote kwa miaka mitano. UAMUZI NI MWENU KUTOA ADHABU KALI KWENYE SANDUKU LA KURA
Ubaguzi kwenye kuadhibu: Tumeshuhudia watumishi wengi wakiondolewa makazini kwa kuwa na vyeti feki, hii ni sawa, lakini kaifanya kwa ubaguzi mkubwa. Baadhi ya sekta hajagusa. Pia, baadhi ya watu hajawagusa, mfano Makonda. NI WAKATI WA KUMKUMBUSHA KUHUSU USAWA.
NI HAYO TU
Maana licha ya mchango mlioutoa (hasa watumishi wa halmashauri) kwenye kumuweka madarakani mwaka 2015, amejifanya kuwasahau kwa miaka yote mitano. Kipindi chote amewafanyia mambo mabaya na ya aibu ili kujipatia umaarufu miongoni mwa jamii.
Udhalilishaji: Rais Magufuli amekuwa akidhalilisha watumishi kwenye mikutano ya wazi mbele ya camera ili apate umaarufu kinyume na kanuni za utumishi wa umma. Je, mtapenda hali hiyo iendelee? UAMUZI NI WENU
Mishahara: Licha ya kwamba kupandishwa mishahara na kulipwa stahiki mbalimbali ni kwa mujibu wa Sheria na kanuni za utumishi wa umma, yeye kwa jeuri, kibri na dharau, amesimamisha vyote kwa miaka mitano. UAMUZI NI MWENU KUTOA ADHABU KALI KWENYE SANDUKU LA KURA
Ubaguzi kwenye kuadhibu: Tumeshuhudia watumishi wengi wakiondolewa makazini kwa kuwa na vyeti feki, hii ni sawa, lakini kaifanya kwa ubaguzi mkubwa. Baadhi ya sekta hajagusa. Pia, baadhi ya watu hajawagusa, mfano Makonda. NI WAKATI WA KUMKUMBUSHA KUHUSU USAWA.
NI HAYO TU